Wa Tanga je huitaji?Habari wakuu. Natafuta muuzaji wa zao la mwani kwa Arusha ambaye ana kibali cha kusafirisha nje ya nchi. Mawasiliano 0776655978
TuwasilianeWa Tanga je huitaji?
mimea flan hua inapandwa baharini, ipo kama magugu hiviMwani ndio kitu gani
Wewe shule ya msingi ulisomea ughaibuni? 😁😁😁😁😁 kulikuwa na swali common sana mwani huishi wapi? 😅😅😅 kwa sisi wa huku bara ndanindani swali lilitupiga chenga ila watu wa visiwani na pwani ilikuawa rahisi kwaoMwani ndio kitu gani
inapandwa baharini? Maji ya bahari yalivyo na salinity unaweza otesha mmea wowote!!mimea flan hua inapandwa baharini, ipo kama magugu hivi
Ubaya ni kwamba sikusomaga kwa kilugha chetu hiki!Wewe shule ya msingi ulisomea ughaibuni? 😁😁😁😁😁 kulikuwa na swali common sana mwani huishi wapi? 😅😅😅 kwa sisi wa huku bara ndanindani swali lilitupiga chenga ila watu wa visiwani na pwani ilikuawa rahisi kwao
Maana nilimsikia bro wangu msela mmoja akizungumzia mwani kuashiria (hamu ya kuchakata papuchi) utamsikia “nina mwani kicenge” ujue ana genyeWewe shule ya msingi ulisomea ughaibuni? 😁😁😁😁😁 kulikuwa na swali common sana mwani huishi wapi? 😅😅😅 kwa sisi wa huku bara ndanindani swali lilitupiga chenga ila watu wa visiwani na pwani ilikuawa rahisi kwao
Sasa umeona mtu anaulizia mwan ukadhani ni mambo ya vumbi la zaire 😁😁Maana nilimsikia bro wangu msela mmoja akizungumzia mwani kuashiria (hamu ya kuchakata papuchi) utamsikia “nina mwani kicenge” ujue ana genye
Ehee ndio maana nikauliza ni kitu gani hiki kumbe ni zao tu 😂😂😂Sasa umeona mtu anaulizia mwan ukadhani ni mambo ya vumbi la zaire 😁😁
Duh!! Huu ni mwani huu huu ninaojua mimi unaoitwa seaweed, kuna aina nyingine ya mwani?!Miti ipo kama miwa inaotaga mtoni.
View attachment 1835152
Mwani unapandwa baharini mzee, ndo maana nimeshangaa kusikia mtu anataka mwani kutoka Arusha!! Mkuu raslimali nipe darasa kidogo kuhusu aina ya mwani unaopatikana Arusha, manake sie wa upande huu tunajua mwani unalimwa baharini(kina kifupi) , hususani Zanzibar, Mafia, na Tanga; na kuna wakati soko lake lilikuwa zuri sana.inapandwa baharini? Maji ya bahari yalivyo na salinity unaweza otesha mmea wowote!!
Acha ubishi mkuuinapandwa baharini? Maji ya bahari yalivyo na salinity unaweza otesha mmea wowote!!
Huu mwani au mianzi?Miti ipo kama miwa inaotaga mtoni.
View attachment 1835152
Mkuu hakuna kilimo cha mwani Arusha Ila nilisikia kuna wauzaji Ila mpaka Sasa sijafanikiwa kuwapataMwani unapandwa baharini mzee, ndo maana nimeshangaa kusikia mtu anataka mwani kutoka Arusha!! Mkuu raslimali nipe darasa kidogo kuhusu aina ya mwani unaopatikana Arusha, manake sie wa upande huu tunajua mwani unalimwa baharini(kina kifupi) , hususani Zanzibar, Mafia, na Tanga; na kuna wakati soko lake lilikuwa zuri sana.
Hiyo ni mianzi siyo mwaniHuu mwani au mianzi?
Nahisi huyo mtu atakuwa alikupiga changa la macho, manake hiyo ni kama kuulizia wauzaji wa kahawa Lindi!! Tafuta watu wa Mafia au Zanzibar, ingawaje mara nyingi hawa wakulima wanakuwa na wanunuzi wao tayari!!Mkuu hakuna kilimo cha mwani Arusha Ila nilisikia kuna wauzaji Ila mpaka Sasa sijafanikiwa kuwapata
UIMiti ipo kama miwa inaotaga mtoni.
View attachment 1835152