anabana sana ndio maana haolewi wanne tu? inabidi apate kama 60 hivi hapo mmojawapo lazima ataingia king
haya wana jf kwa wanaohitaji mke maridhawa.....
NATAFUTA MUME........
Habari zenu wadau. Nina miaka 34, nimesoma nina kazi nzuri, na pia naamini ninavutia kiasi kama mwanamke.
Nimetoka kwenye familia yenye maadili,nimelelewa vizuri sina maskandal yoyote kama wasichana wengine wa mjini nina tabia nzuri nimekuwa na maboyfriend wanne tu maisha yangu yote, sielewi ni kwanini mpaka leo hii hajatokea mwanaume wa kunioa.
Sielewi tatizo ni nini, ushauri naotafuta ni hivi,nifanyeje niweze kupata mume? Akiwa mtanzania mwezangu au mzungu ni sawa tu.
Msinielewe vibaya sio kama nimekuwa desperate ila najisikia vibaya rafiki zangu karibia wote wameolewa na wana watoto nimebaki mimi kila mtu ananinyooshea kidole.
Kuna waanawake wengi mji huu wanatabia mbaya sana ila kila siku unasikia mmoja wao kaolewa,mimi sijui hata madisco ni mtu wa kwenda kazini na kurudi nyumbani yani nimelelewa kwa maadili mema.
Nisaidieni mwanamke mwenzenu
tuwasiliane kwa email innocentchristopher39@yahoo.comhaya wana jf kwa wanaohitaji mke maridhawa.....NATAFUTA MUME........ Habari zenu wadau. Nina miaka 34, nimesoma nina kazi nzuri, na pia naamini ninavutia kiasi kama mwanamke. Nimetoka kwenye familia yenye maadili,nimelelewa vizuri sina maskandal yoyote kama wasichana wengine wa mjini nina tabia nzuri nimekuwa na maboyfriend wanne tu maisha yangu yote, sielewi ni kwanini mpaka leo hii hajatokea mwanaume wa kunioa. Sielewi tatizo ni nini, ushauri naotafuta ni hivi,nifanyeje niweze kupata mume? Akiwa mtanzania mwezangu au mzungu ni sawa tu. Msinielewe vibaya sio kama nimekuwa desperate ila najisikia vibaya rafiki zangu karibia wote wameolewa na wana watoto nimebaki mimi kila mtu ananinyooshea kidole. Kuna waanawake wengi mji huu wanatabia mbaya sana ila kila siku unasikia mmoja wao kaolewa,mimi sijui hata madisco ni mtu wa kwenda kazini na kurudi nyumbani yani nimelelewa kwa maadili mema. Nisaidieni mwanamke mwenzenu
zion,zion.....kesha kuwa na marafiki 4 wote kawapeperusha....unategemea nini??1.Uanze kufunga na kumwomba Mungu na kuvumilia
2. Aaanze kujichanganya kwenye social gatherings(asiwe mtu wa kazini,nyumbani).Nenda kanisani(ikiwezekana hata kwaya imba),mikutanoni,kwenye sherehe n.k
3.Nenda kwenye ushauri kwa watu wazima kama mchungaji na wamama wa makamo wenye heshima na uaminifu.
4.Kama imetokea umempenda mtu,jikaze umwambie unampenda.Usisubiri wewe ndo uambiwe(japo wengine wataona kama ukahaba).Na ukiona haelekei au anaonyesha dharau,ondoka mapema.
4.Usiwe CHEAP.Be EXPENSIVE lakini mwenye heshima.Vumilia mpaka wakati muafaka ufike nikimaanisha usikurupuke na chochote.