haya wana jf kwa wanaohitaji mke maridhawa.....
NATAFUTA MUME........
Habari zenu wadau. Nina miaka 34, nimesoma nina kazi nzuri, na pia naamini ninavutia kiasi kama mwanamke.
Nimetoka kwenye familia yenye maadili,nimelelewa vizuri sina maskandal yoyote kama wasichana wengine wa mjini nina tabia nzuri nimekuwa na maboyfriend wanne tu maisha yangu yote, sielewi ni kwanini mpaka leo hii hajatokea mwanaume wa kunioa.
Sielewi tatizo ni nini, ushauri naotafuta ni hivi,nifanyeje niweze kupata mume? Akiwa mtanzania mwezangu au mzungu ni sawa tu.
Msinielewe vibaya sio kama nimekuwa desperate ila najisikia vibaya rafiki zangu karibia wote wameolewa na wana watoto nimebaki mimi kila mtu ananinyooshea kidole.
Kuna waanawake wengi mji huu wanatabia mbaya sana ila kila siku unasikia mmoja wao kaolewa,mimi sijui hata madisco ni mtu wa kwenda kazini na kurudi nyumbani yani nimelelewa kwa maadili mema.
Nisaidieni mwanamke mwenzenu
wanaume wote mliochangia,imekula kwenu.huyo dada anahitaji kusaidiwa na akina dada tu....sina msaada wowote kwake.
Anza kujiamini utapata MME - hakuna maumbile ya "kuvutia kiasi" It is either "unavutia" au "hauvutii" - lakini inaonekana wewe mwenyewe unajiona hauvutii!
Maboy-friend wanne ni idadi ndogo sana kuweza ku-graduate maisha ya ujana! Na hilo ndilo tatizo lenyewe! At least kwa age ya 34 ungekuwa na kama 20 hivi then obviously wa 21st ungempata muoaji!
haya wana jf kwa wanaohitaji mke maridhawa.....
NATAFUTA MUME........
Habari zenu wadau. Nina miaka 34, nimesoma nina kazi nzuri, na pia naamini ninavutia kiasi kama mwanamke.
Nimetoka kwenye familia yenye maadili,nimelelewa vizuri sina maskandal yoyote kama wasichana wengine wa mjini nina tabia nzuri nimekuwa na maboyfriend wanne tu maisha yangu yote, sielewi ni kwanini mpaka leo hii hajatokea mwanaume wa kunioa.
Sielewi tatizo ni nini, ushauri naotafuta ni hivi,nifanyeje niweze kupata mume? Akiwa mtanzania mwezangu au mzungu ni sawa tu.
Msinielewe vibaya sio kama nimekuwa desperate ila najisikia vibaya rafiki zangu karibia wote wameolewa na wana watoto nimebaki mimi kila mtu ananinyooshea kidole.
Kuna waanawake wengi mji huu wanatabia mbaya sana ila kila siku unasikia mmoja wao kaolewa,mimi sijui hata madisco ni mtu wa kwenda kazini na kurudi nyumbani yani nimelelewa kwa maadili mema.
Nisaidieni mwanamke mwenzenu
haya wana jf kwa wanaohitaji mke maridhawa.....
NATAFUTA MUME........
Habari zenu wadau. Nina miaka 34, nimesoma nina kazi nzuri, na pia naamini ninavutia kiasi kama mwanamke.
Nimetoka kwenye familia yenye maadili,nimelelewa vizuri sina maskandal yoyote kama wasichana wengine wa mjini nina tabia nzuri nimekuwa na maboyfriend wanne tu maisha yangu yote, sielewi ni kwanini mpaka leo hii hajatokea mwanaume wa kunioa.
Sielewi tatizo ni nini, ushauri naotafuta ni hivi,nifanyeje niweze kupata mume? Akiwa mtanzania mwezangu au mzungu ni sawa tu.
Msinielewe vibaya sio kama nimekuwa desperate ila najisikia vibaya rafiki zangu karibia wote wameolewa na wana watoto nimebaki mimi kila mtu ananinyooshea kidole.
Kuna waanawake wengi mji huu wanatabia mbaya sana ila kila siku unasikia mmoja wao kaolewa,mimi sijui hata madisco ni mtu wa kwenda kazini na kurudi nyumbani yani nimelelewa kwa maadili mema.
Nisaidieni mwanamke mwenzenu
watu wanataka vitu mnato....kama huna hiyo sahau mambo ya kuolewa sijui nini...mitikiti maji nani anataka
haya wana jf kwa wanaohitaji mke maridhawa.....
NATAFUTA MUME........
Habari zenu wadau. Nina miaka 34, nimesoma nina kazi nzuri, na pia naamini ninavutia kiasi kama mwanamke.
Nimetoka kwenye familia yenye maadili,nimelelewa vizuri sina maskandal yoyote kama wasichana wengine wa mjini nina tabia nzuri nimekuwa na maboyfriend wanne tu maisha yangu yote, sielewi ni kwanini mpaka leo hii hajatokea mwanaume wa kunioa.
Sielewi tatizo ni nini, ushauri naotafuta ni hivi,nifanyeje niweze kupata mume? Akiwa mtanzania mwezangu au mzungu ni sawa tu.
Msinielewe vibaya sio kama nimekuwa desperate ila najisikia vibaya rafiki zangu karibia wote wameolewa na wana watoto nimebaki mimi kila mtu ananinyooshea kidole.
Kuna waanawake wengi mji huu wanatabia mbaya sana ila kila siku unasikia mmoja wao kaolewa,mimi sijui hata madisco ni mtu wa kwenda kazini na kurudi nyumbani yani nimelelewa kwa maadili mema.
Nisaidieni mwanamke mwenzenu
hahahahah wakaka wa jf naona mna shangwe mdada kaja mwenyewe!
iv apa tz akunaga clubs za mabechela?km huna unaenda apo kuxchange namba afu ikitik nyota mwaendelea??
mmh ingesaidia sana!!!!!!!
bt msimdanganye mwezenu msije mkawa mafanya research za chup funua funika ndo zenu?mwezenu anatafuta mume uyo !!!!
amen mpendwa mungu atakusadia na nia ya moyo wako ikatimia...sema amen........!!11
ol da best mwaya mi bado kidogo i 26yrs inanifanya niogope mandoa yao manake kila ukigeuka kuna kilio cha ndoa awa wamepeana sana mara awa wananyimana mara uyu ananmyima yule mara uyu mume wake anamnyima attention .ahaaaaaaaaaaaaa ili mradi kashda tu......m afraid le me finish ma role then ntaingia uko gerezani manake mmh mh nikichek picha kwa mbali........haaaaaa inaninyima raha ya kuingia SENEMA!!!!!!
ooh ma god i dnt knw wa to do bt...............ndoa.......mmh mmh mungu anyanyue mkono wake nimpate samson wangu nimnyonyoe nywele atulie namimi nipate aman dunian
au nkupe kakangu?ana elimu ya kidato cha 4 lakin ana busara na hekima,he is man to relay on,he is the controller ukiwa nae atanyosha matatizo yote,he is the shoulder to cry ,care n kind yan utakuwa mwanamke mwenye furaha atakufanya ucheke daily bt HANA PESA NI MAJALALA mbaya ....km poa sema.
au km wasaka mwenye PHD ,magari 7 kila siku na gari yake na mahela mingi mmh basi watakuja .........!!!!!!!!!
sali sana ili wasije magugu na ukawavuna pasipo kujua!!!
mungu akutangulie akupe busara na hekima katika machaguzi yako.
:welcome: