Natafuta mume

Nime vutiwa na wewe mpenz naita vincent na miaka 25 napenda kuwana wewe namapenz ya ya dhat mpenz namba yangu0788487444
 
haya wana jf kwa wanaohitaji mke maridhawa.....

NATAFUTA MUME........





Habari zenu wadau. Nina miaka 34, nimesoma nina kazi nzuri, na pia naamini ninavutia kiasi kama mwanamke.

Nimetoka kwenye familia yenye maadili,nimelelewa vizuri sina maskandal yoyote kama wasichana wengine wa mjini nina tabia nzuri nimekuwa na maboyfriend wanne tu maisha yangu yote, sielewi ni kwanini mpaka leo hii hajatokea mwanaume wa kunioa.

Sielewi tatizo ni nini, ushauri naotafuta ni hivi,nifanyeje niweze kupata mume? Akiwa mtanzania mwezangu au mzungu ni sawa tu.

Msinielewe vibaya sio kama nimekuwa desperate ila najisikia vibaya rafiki zangu karibia wote wameolewa na wana watoto nimebaki mimi kila mtu ananinyooshea kidole.

Kuna waanawake wengi mji huu wanatabia mbaya sana ila kila siku unasikia mmoja wao kaolewa,mimi sijui hata madisco ni mtu wa kwenda kazini na kurudi nyumbani yani nimelelewa kwa maadili mema.

Nisaidieni mwanamke mwenzenu

Aise boflo, mambo vip? Tayari ushakuwa mke/mchumba? Mi bado nakusubiria bwana, niliwapa nafasi mi nije wa mwisho, kuna uwezekano haseeeeeee?
 
siku yako haijafika.ikifika utaolewa tu.endelea na tabia yako hiyo hiyo.ukisema uanze kujirusha juu kwenye club za mchana na usiku unaweza ukafa bila mtoto wala kuolewa.upo juu sana.usikate tamaa.
 
wanaume wote mliochangia,imekula kwenu.huyo dada anahitaji kusaidiwa na akina dada tu....sina msaada wowote kwake.
 
wanaume wote mliochangia,imekula kwenu.huyo dada anahitaji kusaidiwa na akina dada tu....sina msaada wowote kwake.

una maanisha yeye ni msagaji au nini? Yeye anataka mume afu we unadai msaada wake ni wa wanaume 2, una maana gani? Kuwa muwazi bloöööö!
 
Anza kujiamini utapata MME - hakuna maumbile ya "kuvutia kiasi" It is either "unavutia" au "hauvutii" - lakini inaonekana wewe mwenyewe unajiona hauvutii!



Maboy-friend wanne ni idadi ndogo sana kuweza ku-graduate maisha ya ujana! Na hilo ndilo tatizo lenyewe! At least kwa age ya 34 ungekuwa na kama 20 hivi then obviously wa 21st ungempata muoaji!

Ushauli gani huo sasa unaompa?
 
ongera sana kwa ujasiri wako. Ni wachache sana wenye uwezo kama wako....ila nikukumbushe umesahau kuhusu dini. Au dini haina tatizo? Other wise find me.
 
haya wana jf kwa wanaohitaji mke maridhawa.....

NATAFUTA MUME........





Habari zenu wadau. Nina miaka 34, nimesoma nina kazi nzuri, na pia naamini ninavutia kiasi kama mwanamke.

Nimetoka kwenye familia yenye maadili,nimelelewa vizuri sina maskandal yoyote kama wasichana wengine wa mjini nina tabia nzuri nimekuwa na maboyfriend wanne tu maisha yangu yote, sielewi ni kwanini mpaka leo hii hajatokea mwanaume wa kunioa.

Sielewi tatizo ni nini, ushauri naotafuta ni hivi,nifanyeje niweze kupata mume? Akiwa mtanzania mwezangu au mzungu ni sawa tu.

Msinielewe vibaya sio kama nimekuwa desperate ila najisikia vibaya rafiki zangu karibia wote wameolewa na wana watoto nimebaki mimi kila mtu ananinyooshea kidole.

Kuna waanawake wengi mji huu wanatabia mbaya sana ila kila siku unasikia mmoja wao kaolewa,mimi sijui hata madisco ni mtu wa kwenda kazini na kurudi nyumbani yani nimelelewa kwa maadili mema.

Nisaidieni mwanamke mwenzenu

nimekuelewa sana dada, ila naomba ni'bargain' kidogo, umri haupungui?
 
haya wana jf kwa wanaohitaji mke maridhawa.....

NATAFUTA MUME........





Habari zenu wadau. Nina miaka 34, nimesoma nina kazi nzuri, na pia naamini ninavutia kiasi kama mwanamke.

Nimetoka kwenye familia yenye maadili,nimelelewa vizuri sina maskandal yoyote kama wasichana wengine wa mjini nina tabia nzuri nimekuwa na maboyfriend wanne tu maisha yangu yote, sielewi ni kwanini mpaka leo hii hajatokea mwanaume wa kunioa.

Sielewi tatizo ni nini, ushauri naotafuta ni hivi,nifanyeje niweze kupata mume? Akiwa mtanzania mwezangu au mzungu ni sawa tu.

Msinielewe vibaya sio kama nimekuwa desperate ila najisikia vibaya rafiki zangu karibia wote wameolewa na wana watoto nimebaki mimi kila mtu ananinyooshea kidole.

Kuna waanawake wengi mji huu wanatabia mbaya sana ila kila siku unasikia mmoja wao kaolewa,mimi sijui hata madisco ni mtu wa kwenda kazini na kurudi nyumbani yani nimelelewa kwa maadili mema.

Nisaidieni mwanamke mwenzenu


watu wanataka vitu mnato....kama huna hiyo sahau mambo ya kuolewa sijui nini...mitikiti maji nani anataka
 
Mpendwa pole sana, nakushauri ufunge siku tatu kavu. Katikahizo siku za kufunga mwambie Mungu akufunulie ujue wewe ni nani, inaonyesha hujijui Lazima kuna kitu unacho kinachokufanya usiolewe au unakuwa na uhusiano usiodumu. bila kujua chanzo cha tatizo lako hata maombi yako yatakuwa hayana maana, maana utaendelea kufanya yale yasioyopendeza mbele za bwana.

kama kweli una wito NI PM nikuelekeze wapi uwe unaenda kuhudhuria semina za vijana walau upanze kupata mwanga.

All the best.
 
Dada, wasikudanganye humu humu jf kuna wanaume wantafuta wake cha msingi wewe weka mawasiliano yako kwamba watakupataje? na ikibidi watakuonaje pia, kikubwa kuwa makini saaana na wale utakaowasiliana nao maana kuna wengine ni mafataki wana system ya hit and run.. kama wanavyosema ile kampuni ya simu kuwa '' KAZI NI KWAKO''
 
haya wana jf kwa wanaohitaji mke maridhawa.....

NATAFUTA MUME........





Habari zenu wadau. Nina miaka 34, nimesoma nina kazi nzuri, na pia naamini ninavutia kiasi kama mwanamke.

Nimetoka kwenye familia yenye maadili,nimelelewa vizuri sina maskandal yoyote kama wasichana wengine wa mjini nina tabia nzuri nimekuwa na maboyfriend wanne tu maisha yangu yote, sielewi ni kwanini mpaka leo hii hajatokea mwanaume wa kunioa.

Sielewi tatizo ni nini, ushauri naotafuta ni hivi,nifanyeje niweze kupata mume? Akiwa mtanzania mwezangu au mzungu ni sawa tu.

Msinielewe vibaya sio kama nimekuwa desperate ila najisikia vibaya rafiki zangu karibia wote wameolewa na wana watoto nimebaki mimi kila mtu ananinyooshea kidole.

Kuna waanawake wengi mji huu wanatabia mbaya sana ila kila siku unasikia mmoja wao kaolewa,mimi sijui hata madisco ni mtu wa kwenda kazini na kurudi nyumbani yani nimelelewa kwa maadili mema.

Nisaidieni mwanamke mwenzenu

Vumulia bado kidogo. Mume yupo njiani
 
hahahahah wakaka wa jf naona mna shangwe mdada kaja mwenyewe!
iv apa tz akunaga clubs za mabechela?km huna unaenda apo kuxchange namba afu ikitik nyota mwaendelea??
mmh ingesaidia sana!!!!!!!

bt msimdanganye mwezenu msije mkawa mafanya research za chup funua funika ndo zenu?mwezenu anatafuta mume uyo !!!!
amen mpendwa mungu atakusadia na nia ya moyo wako ikatimia...sema amen........!!11
ol da best mwaya mi bado kidogo i 26yrs inanifanya niogope mandoa yao manake kila ukigeuka kuna kilio cha ndoa awa wamepeana sana mara awa wananyimana mara uyu ananmyima yule mara uyu mume wake anamnyima attention .ahaaaaaaaaaaaaa ili mradi kashda tu......m afraid le me finish ma role then ntaingia uko gerezani manake mmh mh nikichek picha kwa mbali........haaaaaa inaninyima raha ya kuingia SENEMA!!!!!!
ooh ma god i dnt knw wa to do bt...............ndoa.......mmh mmh mungu anyanyue mkono wake nimpate samson wangu nimnyonyoe nywele atulie namimi nipate aman dunian
au nkupe kakangu?ana elimu ya kidato cha 4 lakin ana busara na hekima,he is man to relay on,he is the controller ukiwa nae atanyosha matatizo yote,he is the shoulder to cry ,care n kind yan utakuwa mwanamke mwenye furaha atakufanya ucheke daily bt HANA PESA NI MAJALALA mbaya ....km poa sema.
au km wasaka mwenye PHD ,magari 7 kila siku na gari yake na mahela mingi mmh basi watakuja .........!!!!!!!!!
sali sana ili wasije magugu na ukawavuna pasipo kujua!!!
mungu akutangulie akupe busara na hekima katika machaguzi yako.
:welcome:

OOoooh hapa nachanganyikiwa kabisaaaaaa hata sikuelewi:A S-confused1:
 
Mh! binti upo tayari kula mema ya nchi? ila haujawa muwazi, bado upo na ma-boi fr wako au mmeshaachana? msije mkawa mnaliendeleza ribeneke then unasema unatafuta mchumba. kuwa muwazi kwanza ndo tukupe ushauri, yupo kijana ana miaka 36 anatafuta mke mwema, ila umemchanganya, haujasema unataka mme wa kabila au dini ipi! hata wewe haujasema n dini au kabila ipi! elimu yako n ipi! kaz yako n ipi? hivyo ukivitaja ndo vnakuongezea sifa ya kupata mme, ucje ukawa n bahamed then unaficha, kuwa muwazi mama.
 
Pole dada ,la umuhimu ni kujua madhali bado upo duniani basi rizki yako ipo,zidi kumuomba m'mungu akurahisishie kumpata.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom