Natafuta mume

Kwakuwa umesema unataka mtu mwenye uwezo na ikiwezekana hata mzungu basi nakushauri uwasiliane na Mange Kimambi ambaye atakupa mbinu zote za kuwapata hawa unaohitaji,yeye ni member hapa kwa jina lingine au tuma ujumbe kwenye blog yake.
 
Kwakuwa umesema unataka mtu mwenye uwezo na ikiwezekana hata mzungu basi nakushauri uwasiliane na Mange Kimambi ambaye atakupa mbinu zote za kuwapata hawa unaohitaji,yeye ni member hapa kwa jina lingine au tuma ujumbe kwenye blog yake.

Wadada zetu wanakazi sana anataka mtu mwenye uwezo mwanaume mwenye uwezo huwa hatafutwi hiyo kwenye blog ya Mange Kimambi wanadanganyana kweli na kupeana mbinu za ndizo sio za kunasa wanaume wenye hela mwingine yuko radhi hadi kwenda kwa waganga maskini POOR THEM ndio maana wengi wanaangukia kuonjwa onjwa na kuachwa kama ice cream za bhakressa
 
haya wana jf kwa wanaohitaji mke maridhawa.....

NATAFUTA MUME........





Habari zenu wadau. Nina miaka 34, nimesoma nina kazi nzuri, na pia naamini ninavutia kiasi kama mwanamke.

Nimetoka kwenye familia yenye maadili,nimelelewa vizuri sina maskandal yoyote kama wasichana wengine wa mjini nina tabia nzuri nimekuwa na maboyfriend wanne tu maisha yangu yote, sielewi ni kwanini mpaka leo hii hajatokea mwanaume wa kunioa.

Sielewi tatizo ni nini, ushauri naotafuta ni hivi,nifanyeje niweze kupata mume? Akiwa mtanzania mwezangu au mzungu ni sawa tu.

Msinielewe vibaya sio kama nimekuwa desperate ila najisikia vibaya rafiki zangu karibia wote wameolewa na wana watoto nimebaki mimi kila mtu ananinyooshea kidole.

Kuna waanawake wengi mji huu wanatabia mbaya sana ila kila siku unasikia mmoja wao kaolewa,mimi sijui hata madisco ni mtu wa kwenda kazini na kurudi nyumbani yani nimelelewa kwa maadili mema.

Nisaidieni mwanamke mwenzenu


hyo red, sasa huko si do kua desparate!!
manake its like unataka kuolewaa kwasababu wenzako wameolewa na
hata wale wenye tabia mbaya kuliko wewe wanapata waume ila
wewe bado tu huolewi.

Dada vumilia, na amini sio wewetu mwenye shida ya mwenza, wapo wenzio kibaaaaaaao
wenye shida kama yako.
lakini pia usireflect maisha yako kwa maisha ya wenzio, maisha yako ni maisha yako na yao ni yao.
Pa jitahidi sana kuichanganya katika maeneo wanakopatikana aina ya wanaume unaowapenda.

huwezi kumpenda mtu from no where, lazima umwone, au muwasiliane, m treatiane, uone ana nini
ulinganishe na unachotaka.

Finaly, dada kupenda (falling in love) ni kitu automatic, nim bahati, ni baraka, ni kitu ambacho kina self mandate
huja pale kinapotaka na kuondoka pale kinapotaka, kwa yule kinapotaka na sio vinginevyo.
kwa hiyo vumilia, mwombe mungu akubariki katika hilo.

kila la keri.
 
Duh!so unataka kuolewa coz ya friendz zako wameolewa??!! pole dada but jus wait utampata 2 wa kukuoa.
 
haya wana jf kwa wanaohitaji mke maridhawa.....

NATAFUTA MUME........





Habari zenu wadau. Nina miaka 34, nimesoma nina kazi nzuri, na pia naamini ninavutia kiasi kama mwanamke.

Nimetoka kwenye familia yenye maadili,nimelelewa vizuri sina maskandal yoyote kama wasichana wengine wa mjini nina tabia nzuri nimekuwa na maboyfriend wanne tu maisha yangu yote, sielewi ni kwanini mpaka leo hii hajatokea mwanaume wa kunioa.

Sielewi tatizo ni nini, ushauri naotafuta ni hivi,nifanyeje niweze kupata mume? Akiwa mtanzania mwezangu au mzungu ni sawa tu.

Msinielewe vibaya sio kama nimekuwa desperate ila najisikia vibaya rafiki zangu karibia wote wameolewa na wana watoto nimebaki mimi kila mtu ananinyooshea kidole.

Kuna waanawake wengi mji huu wanatabia mbaya sana ila kila siku unasikia mmoja wao kaolewa,mimi sijui hata madisco ni mtu wa kwenda kazini na kurudi nyumbani yani nimelelewa kwa maadili mema.

Nisaidieni mwanamke mwenzenu

wasiliana nami kwa email leonardjonnie@rocketmail.com
 
haya wana jf kwa wanaohitaji mke maridhawa.....

NATAFUTA MUME........


Habari zenu wadau. Nina miaka 34, nimesoma nina kazi nzuri, na pia naamini ninavutia kiasi kama mwanamke.

Nimetoka kwenye familia yenye maadili,nimelelewa vizuri sina maskandal yoyote kama wasichana wengine wa mjini nina tabia nzuri nimekuwa na maboyfriend wanne tu maisha yangu yote, sielewi ni kwanini mpaka leo hii hajatokea mwanaume wa kunioa.

Sielewi tatizo ni nini, ushauri naotafuta ni hivi,nifanyeje niweze kupata mume? Akiwa mtanzania mwezangu au mzungu ni sawa tu.

Msinielewe vibaya sio kama nimekuwa desperate ila najisikia vibaya rafiki zangu karibia wote wameolewa na wana watoto nimebaki mimi kila mtu ananinyooshea kidole.

Kuna waanawake wengi mji huu wanatabia mbaya sana ila kila siku unasikia mmoja wao kaolewa,mimi sijui hata madisco ni mtu wa kwenda kazini na kurudi nyumbani yani nimelelewa kwa maadili mema.

Nisaidieni mwanamke mwenzenu



Boflo bora niku PM tu .....
 
bt msimdanganye mwezenu msije mkawa mafanya research za chup funua funika ndo zenu?mwezenu anatafuta mume uyo !!!!

This is unfair, why are you thinking JF bachelors that way....huh!!, by the way, do you know Miss Boflo in personnal that is cheap to be cheated....or You just want to spoil her mission...huh!!!! .. Tell us.
 
Naomba tuwasiliane kama kweli upo serious nitumie contact zako kupitia email yangu pia niandikie namba zako za simu na uniambie uko mkoa gani myemail is ezyayiemba1984@hotmail.com
 
Boflo pls ni PM sasa hivi.Hakika na kweli mwenza umempata.Angalia hata thread yangu Re: Mchumba serious anahitajika yamkini ndiwe ,Tafadhali sana ni PM leo leo usikose , Nakuomba sanaa!!!
 
Dada nikushauri tu Mume hatafutwi ki hivyo hata siku moja tena kuwa na fikira za kuolewa ndo kabisa hutaolewa. Cha msingi muonbe Mungu sana akupe mume aliyekupangia usijefikiri kuoelewa ni mchezo. Nachokiona kwako umesema unakazi nzuri hapa inaonyesha unajali sana kazi yako na unapotoka nyumbani ofisini, ofisini nyumbani tena ukawa na corola kama yangu ndo kabisa hata hao wanaume watakuona saa ngapi nakwambia yaliyowahi kunikuta mpaka baadae nikaanza kwenda bar kukaa na wenzangu japokuwa pombe sinywi nikawa nafuatwa kila kukicha so jichanganye na watu wakuone. UTAOLEWA TU HAPO NAKWAMBIA hata kama hutaki kwenda bar basi nenda hata jumuiya kusali au kanisani kwenye sherehe mbalimbali hata kama ni birthday we hudhuria tu utaonekana.
Mashauri yako...hua yaniamsha mawazo mazuri hakika!
Hapo nmepata new idea!.
Kumbe ndivyo ...hua hivyo!!!
 
u don't have to be married because most of ur friends are married and are pointing finger at you,marriage is a serious issue u don't have to do it simply u want to please others, u will regret
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom