Eng. Kayombo
Member
- Mar 6, 2012
- 21
- 9
Wadau,
mimi ni mdada wa miaka 27 nimemaliza chuo mwaka jana. Mweupe, mnene wa wastani, mrefu, sinywi pombe na sivuti sigara. Naishi maisha ya wastani. Mimi ni mkristo
Natafuta mwanaume wa kuwa naye ktk maisha awe na umri wa kuanzia miaka 26-40, awe anajitegemea kiuchumi(awe anajituma kufanya kazi), kabila, dini au rangi havina nafasi.
Kwa aliye tayari anaweza kuwasiliana nami kwa email hii. NIANDIKIE_LEO@YAHOO.COM.
Serious please. No jokes. Kama unaonaje sio lazima uchangie. Asanteni.
mimi ni mdada wa miaka 27 nimemaliza chuo mwaka jana. Mweupe, mnene wa wastani, mrefu, sinywi pombe na sivuti sigara. Naishi maisha ya wastani. Mimi ni mkristo
Natafuta mwanaume wa kuwa naye ktk maisha awe na umri wa kuanzia miaka 26-40, awe anajitegemea kiuchumi(awe anajituma kufanya kazi), kabila, dini au rangi havina nafasi.
Kwa aliye tayari anaweza kuwasiliana nami kwa email hii. NIANDIKIE_LEO@YAHOO.COM.
Serious please. No jokes. Kama unaonaje sio lazima uchangie. Asanteni.