Natafuta mume wa maisha tafadhali

Natafuta mume wa maisha tafadhali

Wadau,
mimi ni mdada wa miaka 27 nimemaliza chuo mwaka jana. Mweupe, mnene wa wastani, mrefu, sinywi pombe na sivuti sigara. Naishi maisha ya wastani. Mimi ni mkristo

Natafuta mwanaume wa kuwa naye ktk maisha awe na umri wa kuanzia miaka 26-40, awe anajitegemea kiuchumi(awe anajituma kufanya kazi), kabila, dini au rangi havina nafasi.

Kwa aliye tayari anaweza kuwasiliana nami kwa email hii. NIANDIKIE_LEO@YAHOO.COM.

Serious please. No jokes. Kama unaonaje sio lazima uchangie. Asanteni.
we jamaa tangu lini umekuwa demu? maana nakumbuka umemaliza pale UDSM mwaka 2010 electrical eng... ulikuwa mwanaume wa haja leo imekuwaje tena ukawa dem?
nakumbuka mwaka wa pili uli- carry somo la java programing na instrumentation.... ukibisha naweka GPA yako hapa....
 
0712336687exactly::::u got the virtual guy.The homies of your breath
 
sifa ninazo je utakuwa tiyari kuwa mke wa pili mana mie nina mke
 
we jamaa tangu lini umekuwa demu? maana nakumbuka umemaliza pale UDSM mwaka 2010 electrical eng... ulikuwa mwanaume wa haja leo imekuwaje tena ukawa dem?
nakumbuka mwaka wa pili uli- carry somo la java programing na instrumentation.... ukibisha naweka GPA yako hapa....

Mbona huyu kayombo ni punga kitambo,alianza kulika toka yupo Moshi Tec
 
Mbona huyu kayombo ni punga kitambo,alianza kulika toka yupo Moshi Tec

we jamaa tangu lini umekuwa demu? maana nakumbuka umemaliza pale UDSM mwaka 2010 electrical eng... ulikuwa mwanaume wa haja leo imekuwaje tena ukawa dem?
nakumbuka mwaka wa pili uli- carry somo la java programing na instrumentation.... ukibisha naweka GPA yako hapa....

hiyo namba aliyoweka humu mbona ina ID ya Elisha Mahenge...... hii ni utata sasa ,toka lini dume likatafuta mume?
 
we jamaa tangu lini umekuwa demu? maana nakumbuka umemaliza pale UDSM mwaka 2010 electrical eng... ulikuwa mwanaume wa haja leo imekuwaje tena ukawa dem?
nakumbuka mwaka wa pili uli- carry somo la java programing na instrumentation.... ukibisha naweka GPA yako hapa....


waumbue mkuu

maana wamezidi kujiita ke

kumbe me
 
Serious please. No jokes. Kama unaonaje sio lazima uchangie. Asanteni.
kama ungekuwa siliazi nenda redioni ukatangaze maana watanzania wachache sana ndio wanatumia mawasiliano ya internet nenda TBC 1 na ITV ukatoe tangazo
 
Wadau,
mimi ni mdada wa miaka 27 nimemaliza chuo mwaka jana. Mweupe, mnene wa wastani, mrefu, sinywi pombe na sivuti sigara. Naishi maisha ya wastani. Mimi ni mkristo

Natafuta mwanaume wa kuwa naye ktk maisha awe na umri wa kuanzia miaka 26-40, awe anajitegemea kiuchumi(awe anajituma kufanya kazi), kabila, dini au rangi havina nafasi.

Kwa aliye tayari anaweza kuwasiliana nami kwa email hii. NIANDIKIE_LEO@YAHOO.COM.

Serious please. No jokes. Kama unaonaje sio lazima uchangie. Asanteni.

ok am very serious too call me 0718261099 or mail me @ geramkolongo@yahoo.com
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom