Natafuta mwenza wa maisha

Visionor

Member
Nov 9, 2017
20
14
Habari wana JF,

Natafuta mwenza wamaisha umri kuanzia miaka 30, awe mwelewa, mcheshi, hofu ya Mungu, Upendo wa kweli, mahali popote, kabila lolote anakaribishwa.

Mimi ni mwanaume mwenye umri miaka 38. Kazi nimejiajiri mwenyewe, dini ni mkristu.

NB: Awe tayari kupima HIV.
 
wanakuja wahusika, kila la heri mkuu
Habari wana JF,

Natafuta mwenza wamaisha umri kuanzia miaka 30, awe mwelewa, mcheshi, hofu ya Mungu, Upendo wa kweli, mahali popote, kabila lolote anakaribishwa.

Mimi ni mwanaume mwenye umri miaka 38. Kazi nimejiajiri mwenyewe, dini ni mkristu.

NB: Awe tayari kupima HIV.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom