Blue Colour
Member
- Jan 9, 2019
- 52
- 66
- Thread starter
- #81
Naomba unipm nikuambie jambo zuri.Weka tiki.Mume umenipata.Come karibu,honey!
Naomba unipm nikuambie jambo zuri.Weka tiki.Mume umenipata.Come karibu,honey!
Nakuja honey!Naomba unipm nikuambie jambo zuri.
Ninaidhi vogezo vyote. Ila age uliyoweka ndio kikwazo. In short niko chini kidogo.Wapendwa mimi ni mgeni humu nakatika sifa zenu nyingi.
Nimeona nijaribu kutafuta bahati yangu.
Mimi ni mwanadada mwenye umri kuanzia 26-28 ni mlutherani.
Nimhitimu katika chuo cha veta.
Tofauti na hapo napambana na life.
Mimi ninatafuta mwanaume ambaye tutaishi vyema.
Tupendane nakusikilizana.
Tushauriane na kuwaza maisba.
Mimi nipo serious sana katima hili .
Elimu ni muhimu kwangu kwa sababu lazima uondoe ujinga.
Kazi pia ni muhimu awe nayo.
Umri ni 34- 38 naomba waje walioserious.
Kama mimi kwani nipo serious kiasi cha userious.
Nanimwanadada ninayejitambua nanina hitaji chaguo jema.
Kama upo serious unajua huu ndio muda wako sahihi wakuwa nafamilia njoo tuyajengee.
Nipo northzone.
Mbona huji?Nakuja honey!
Mwanamke anayetaka mwanaume wa "kusikilizana" hafai kama kikokotoo cha mama. Mke kazi yake ni kusikiliza tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona umetabasamu kwa sauti hivyo?Unanicheka ninavyorandaranda kuchekicheki mke?
Hahaha...nakuchekiiii halafu nasema hiiiii...mkuu anapotea...hakuna mke hapo.Mkuu mbona umetabasamu kwa sauti hivyo?Unanicheka ninavyorandaranda kuchekicheki mke?
mkuu nipo mimi nami natafta.Wapendwa mimi ni mgeni humu nakatika sifa zenu nyingi.
Nimeona nijaribu kutafuta bahati yangu.
Mimi ni mwanadada mwenye umri kuanzia 26-28 ni mlutherani.
Nimhitimu katika chuo cha veta.
Tofauti na hapo napambana na life.
Mimi ninatafuta mwanaume ambaye tutaishi vyema.
Tupendane nakusikilizana.
Tushauriane na kuwaza maisba.
Mimi nipo serious sana katima hili .
Elimu ni muhimu kwangu kwa sababu lazima uondoe ujinga.
Kazi pia ni muhimu awe nayo.
Umri ni 34- 38 naomba waje walioserious.
Kama mimi kwani nipo serious kiasi cha userious.
Nanimwanadada ninayejitambua nanina hitaji chaguo jema.
Kama upo serious unajua huu ndio muda wako sahihi wakuwa nafamilia njoo tuyajengee.
Nipo northzone.
Wewe mwongoMkuu mbona umetabasamu kwa sauti hivyo?Unanicheka ninavyorandaranda kuchekicheki mke?