T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,102
- 4,515
Ulionana nae wapi
Ulionana nae wapi
kaona 30 wamegoma kashusha ***** mtanyookaUkiwa muongo uwe na kumbukumbuI am looking for a true love later to be my husband - JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka namba ya simu sasaWapendwa mimi ni mgeni humu nakatika sifa zenu nyingi.
Nimeona nijaribu kutafuta bahati yangu.
Mimi ni mwanadada mwenye umri kuanzia 26-28 ni mlutherani.
Nimhitimu katika chuo cha veta.
Tofauti na hapo napambana na life.
Mimi ninatafuta mwanaume ambaye tutaishi vyema.
Tupendane nakusikilizana.
Tushauriane na kuwaza maisba.
Mimi nipo serious sana katima hili .
Elimu ni muhimu kwangu kwa sababu lazima uondoe ujinga.
Kazi pia ni muhimu awe nayo.
Umri ni 34- 38 naomba waje walioserious.
Kama mimi kwani nipo serious kiasi cha userious.
Nanimwanadada ninayejitambua nanina hitaji chaguo jema.
Kama upo serious unajua huu ndio muda wako sahihi wakuwa nafamilia njoo tuyajengee.
Nipo northzone.
Kumbee
Hizo ni shida zenu zangu mie za mme mmoja mnajaza watoto wawatu kama mnawaweza mwishoe mnawatekeleza sasa ulioa wengi ya nini kazi miisifa tu misiwataki.Kwa hiyo sisi wala tende na kahawa hututaki? Ungejua sisi twaoa mke zaidi ya mmoja ati?.
Nioe mimi mwache wa kwanzaDah!Nakosa mke hivihivi.Nikuoe uwe mke wa pili bibie?
Aliyenitoa bikra nimemkata mimi ujue sio kanikataa kwa hiyo do not judge very soon God will provide for me a good husband something i really need jamani.Kama ndoa ni kazi nzuri bas kakae karbu na ikulu wew ungesema unataka mme bas mwenye tabia njema hayo mengine majariwa mfano amekuoa anakaz nzur halafu akapata ulemavu akatimuliwa kazni maana yake unatafuta mwingine mweny kaz hahahahah utahahah sna utaishia kupata matapel kama alie kutoa vign yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungeweka na kapicha tangazo lingevutia zaidi na lingetoa hamasa zaidWapendwa mimi ni mgeni humu nakatika sifa zenu nyingi.
Nimeona nijaribu kutafuta bahati yangu.
Mimi ni mwanadada mwenye umri kuanzia 26-28 ni mlutherani.
Nimhitimu katika chuo cha veta.
Tofauti na hapo napambana na life.
Mimi ninatafuta mwanaume ambaye tutaishi vyema.
Tupendane nakusikilizana.
Tushauriane na kuwaza maisba.
Mimi nipo serious sana katima hili .
Elimu ni muhimu kwangu kwa sababu lazima uondoe ujinga.
Kazi pia ni muhimu awe nayo.
Umri ni 34- 38 naomba waje walioserious.
Kama mimi kwani nipo serious kiasi cha userious.
Nanimwanadada ninayejitambua nanina hitaji chaguo jema.
Kama upo serious unajua huu ndio muda wako sahihi wakuwa nafamilia njoo tuyajengee.
Nipo northzone.
Weka yakoUngeweka na kapicha tangazo lingevutia zaidi na lingetoa hamasa zaid
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hawa watoto utalea?Nioe mimi mwache wa kwanza
Kwa wakazi wa Taarime, hii point yako tumeipata kwa uzuri.Mwanamke anayetaka mwanaume wa "kusikilizana" hafai kama kikokotoo cha mama. Mke kazi yake ni kusikiliza tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Eh kwa moyo wote sio lazima niwazae nitawadekeza na kuwachunga kama mboni ya jicho langu.Sasa hawa watoto utalea?
Weka tiki.Mume umenipata.Come karibu,honey!Eh kwa moyo wote sio lazima niwazae nitawadekeza na kuwachunga kama mboni ya jicho langu.