Natafuta mume mkristo

Wapendwa mimi ni mgeni humu nakatika sifa zenu nyingi.
Nimeona nijaribu kutafuta bahati yangu.
Mimi ni mwanadada mwenye umri kuanzia 26-28 ni mlutherani.
Nimhitimu katika chuo cha veta.
Tofauti na hapo napambana na life.
Mimi ninatafuta mwanaume ambaye tutaishi vyema.
Tupendane nakusikilizana.
Tushauriane na kuwaza maisba.
Mimi nipo serious sana katima hili .
Elimu ni muhimu kwangu kwa sababu lazima uondoe ujinga.
Kazi pia ni muhimu awe nayo.
Umri ni 34- 38 naomba waje walioserious.
Kama mimi kwani nipo serious kiasi cha userious.
Nanimwanadada ninayejitambua nanina hitaji chaguo jema.
Kama upo serious unajua huu ndio muda wako sahihi wakuwa nafamilia njoo tuyajengee.
Nipo northzone.
Weka namba ya simu sasa
 
Kwa hiyo sisi wala tende na kahawa hututaki? Ungejua sisi twaoa mke zaidi ya mmoja ati?.
Hizo ni shida zenu zangu mie za mme mmoja mnajaza watoto wawatu kama mnawaweza mwishoe mnawatekeleza sasa ulioa wengi ya nini kazi miisifa tu misiwataki.
Bora single kushinda kuolewa mke wa pili..
 
Kama ndoa ni kazi nzuri bas kakae karbu na ikulu wew ungesema unataka mme bas mwenye tabia njema hayo mengine majariwa mfano amekuoa anakaz nzur halafu akapata ulemavu akatimuliwa kazni maana yake unatafuta mwingine mweny kaz hahahahah utahahah sna utaishia kupata matapel kama alie kutoa vign yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ndoa ni kazi nzuri bas kakae karbu na ikulu wew ungesema unataka mme bas mwenye tabia njema hayo mengine majariwa mfano amekuoa anakaz nzur halafu akapata ulemavu akatimuliwa kazni maana yake unatafuta mwingine mweny kaz hahahahah utahahah sna utaishia kupata matapel kama alie kutoa vign yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyenitoa bikra nimemkata mimi ujue sio kanikataa kwa hiyo do not judge very soon God will provide for me a good husband something i really need jamani.
Nasio lazima humu umenielewa stop.kujinadi because unaforce things which someone will not change.
Mtu usimpangie maisha yake atakavyoishi .
Huwezi kuolewa na mtu kinyume na matarajio yake.
Kama napenda hivyo nitapata hivyo kama sipendi hivyo Mungu atanipa hivyo.
So niache kama diamond niache.
 
Wapendwa mimi ni mgeni humu nakatika sifa zenu nyingi.
Nimeona nijaribu kutafuta bahati yangu.
Mimi ni mwanadada mwenye umri kuanzia 26-28 ni mlutherani.
Nimhitimu katika chuo cha veta.
Tofauti na hapo napambana na life.
Mimi ninatafuta mwanaume ambaye tutaishi vyema.
Tupendane nakusikilizana.
Tushauriane na kuwaza maisba.
Mimi nipo serious sana katima hili .
Elimu ni muhimu kwangu kwa sababu lazima uondoe ujinga.
Kazi pia ni muhimu awe nayo.
Umri ni 34- 38 naomba waje walioserious.
Kama mimi kwani nipo serious kiasi cha userious.
Nanimwanadada ninayejitambua nanina hitaji chaguo jema.
Kama upo serious unajua huu ndio muda wako sahihi wakuwa nafamilia njoo tuyajengee.
Nipo northzone.
Ungeweka na kapicha tangazo lingevutia zaidi na lingetoa hamasa zaid

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom