grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,442
- 5,807
Nikukute kwenye PM basi my new babe.Mimi nimetumika siku tatu tuu... Nadhani nitakufaa..!
Nikukute kwenye PM basi my new babe.Mimi nimetumika siku tatu tuu... Nadhani nitakufaa..!
Nikukute kwenye PM basi my new babe.
Sina hakika kama umeni-PM maana bado sijakuona. Nipo hewani.Natumaini umeishaiona PM yangu..! Nasubiri unijibu.. Lol
Mzee mwenzangu mara ya kwanza sikutaka kukuambia tu, ni kinyume chake, M inazidi kuwa imara wakati K hulegea.
We nawe wa wapi??aibu ya nini?Hata aibu huon kachukue wkulima hko kama unamapenz ya kwer
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Mwanangu wa mwisho yuko chuo mwaka wa pili ...usiogope mekuuu...by the way sijaja kuomba msaada wa kusomeshewa ...Utakuwa umetumwa na sangoma/mganga...au unatafuta urithi kwa watoto wako wapate kihamba angalao...Hunipati ng'ooo,acha nibaki single hivihivi!!
Kuwa wazi basi unataka nini zaidi,yaani unachomic unapokuwa mwenyewe kama ni penzi ni jue,maana hayo mengine yatafuata tuu taratibu na unihakikishie usalama maana umri wangu umesonga. Nilivypo invest usijeukaninyang'anya. Halafu wewe mdogo sana sijui kama utaridhika na penzi la uzee huu,usije ukawa unanidanganya. Na kwanini kanisani na msikitini hautaki mae!!?? Umesomea sheria??Mwanangu wa mwisho yuko chuo mwaka wa pili ...usiogope mekuuu...by the way sijaja kuomba msaada wa kusomeshewa ...
Sasa ndg yangu mie ndio nilokufanya uwe conductor?povu lote la nini?"Mwanamke ni mwanamke" ndo wanaongoza jf kuwa na mawazo ya kijinga. We unasifa gan uweke mashart ya hivyo....,unapotosha,utarudishwa facebook.
Daaaah kwanza nataka ujue strategy yangu ya kwanza ni Love doesn't ask why? hivyo ndivyo nilivyoamua kupenda na umri naoutaka ni huo,tunaenda kwa area commissioner pale tutawekeane masharti yote khs mali zako na zangu pamoja na watoto wako.khs sharia nilisoma mwaka wa kwanza.Kuwa wazi basi unataka nini zaidi,yaani unachomic unapokuwa mwenyewe kama ni penzi ni jue,maana hayo mengine yatafuata tuu taratibu na unihakikishie usalama maana umri wangu umesonga. Nilivypo invest usijeukaninyang'anya. Halafu wewe mdogo sana sijui kama utaridhika na penzi la uzee huu,usije ukawa unanidanganya. Na kwanini kanisani na msikitini hautaki mae!!?? Umesomea sheria??
nimesahau sitaki pm pls
Mambo hadharani nikimpata kila mtu ajue..ina maana ww huwezi mwaga sera hadharani hadi ujifichemo?Kama hutaki pm umeweka tongozo la nini?
Habarini wadau wanajf,mimi ni mwanamama miaka 32 natafuta mume tuoane ndoa ya serikali tuu kanisani msikitini hapana...awe na miaka kuanzia 54 hadi 58 na awe mwajiriwa wa ofisi/shirika la serikali ambaye ni ofisa haijalishi kitengo lakini itapendeza kama ni wale wanaofuatwa na DFP AU STK/STL ambaye hana mke kwa sasa na kama ana watoto wasizidi watatu ili tukichanganya na wakwangu wawili wawe jumla watano.nawasilisha
Umri wangu umesonga bhana utanivunja mgongo wangu my dear. Tafuta wa rika lako. Nakutamani lakin naogopa tena, Don't ask why?Daaaah kwanza nataka ujue strategy yangu ya kwanza ni Love doesn't ask why? hivyo ndivyo nilivyoamua kupenda na umri naoutaka ni huo,tunaenda kwa area commissioner pale tutawekeane masharti yote khs mali zako na zangu pamoja na watoto wako.khs sharia nilisoma mwaka wa kwanza.
Unataka wa kula naye pensheni. Kuchuma wachume wengine, kula ule wewe!!