Kila la kheri. upate haja ya moyo wako.. shida sina zari na wa humu kila nilitupa ndoana hainasiHello mimi ninamiaka 29 ...
Ninamtt mmoja
Najishghulisha na ususi
Natafuta mume kuanzia miaka 30_70
Awe na hofu ya mungu ..awe na upendo wakweli awe anajishughulisha
😂😂😂😂Mambo ya pspfUmesema mpaka 70?
Too much🤒😂😂😂😂Mambo ya pspf
Miaka 70 Aisee ni kikongweToo much🤒
😂😂😂😂🤭Miaka 70 Aisee ni kikongwe
Amfie Kwa bed bureeMiaka 70 Aisee ni kikongwe
Ana akili sana huyu. Anataka urithi baada ya mzee wa 70 kuvutaUmesema mpaka 70?
😂Amfie Kwa bed buree
Mapenz ni raha siyo depression ya kukosa mkuyengeAna akili sana huyu. Anataka urithi baada ya mzee wa 70 kuvuta
Kesi hiyo mom