Natafuta mume miaka 54-58

Habarini wadau wanajf,mimi ni mwanamama miaka 32 natafuta mume tuoane ndoa ya serikali tuu kanisani msikitini hapana...awe na miaka kuanzia 54 hadi 58 na awe mwajiriwa wa ofisi/shirika la serikali ambaye ni ofisa haijalishi kitengo lakini itapendeza kama ni wale wanaofuatwa na DFP AU STK/STL ambaye hana mke kwa sasa na kama ana watoto wasizidi watatu ili tukichanganya na wakwangu wawili wawe jumla watano.nawasilisha

Huo umri unaoutaka huna lolote unatafuta mafao, Ngoja kuna jirani yangu hapa niongee nae anataka kustaafu kama vipi akubebe jumla.
 
1.Msikitini/Kanisani ..wengi walioenda huko saa hizi ni majanga yamewasonga
2.Swala la umri naamini atakua keshamaliza michezo yote na mauongo yote ya kucheat kwa mwanamke(matured enough)so kwakua mimi nina watoto naye pia anao kuzaa haipo...
3.Mimi nina gari mbili moja ntampatia ili tufanye mambo mengine na kiinua mgongo,Nadhani nimejibu hoja zako zote Idimi

Teeeh ama kweli mjini mipango,
 
Sasa sisi wenye sifa hizo tutawasiliana nawe vipi na umesema hutaki pm?
 
Humu duniani kuna v2ko,umri huo ili achape kimoja analala then ufaidi urithi kwanin usitafute kijana mdogo umtunze wewe !
 
Habarini wadau wanajf,mimi ni mwanamama miaka 32 natafuta mume tuoane ndoa ya serikali tuu kanisani msikitini hapana...awe na miaka kuanzia 54 hadi 58 na awe mwajiriwa wa ofisi/shirika la serikali ambaye ni ofisa haijalishi kitengo lakini itapendeza kama ni wale wanaofuatwa na DFP AU STK/STL ambaye hana mke kwa sasa na kama ana watoto wasizidi watatu ili tukichanganya na wakwangu wawili wawe jumla watano.nawasilisha

Unahisi ka-pension kapo karibu!!!????
 
Mwanangu wa mwisho yuko chuo mwaka wa pili ...usiogope mekuuu...by the way sijaja kuomba msaada wa kusomeshewa ...

Una miaka 32.
Una watoto wawili.
Mwanao wa mwisho sasa yupo 'chuo' mwaka wa pili. Apa najaribu kukuna kichwa nijue huyo mwanao wa 'kwanza' ulimzaa ukiwa na umri gani?? Otherwise 'ukicheche' ulianza since under-age! Sasa unatafuta 'mzee' wa miaka 58 (nearly towards his retirement age) ataeweza kuvumilia tabia zako maana wazee wengi ni 'ndiyo ndiyo'
 
mimi nina miaka 17 ila najiweza nipo k.k security ndio magari yao hua yananifuata vipi utapenda,
 
:screwy:.mia
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1372927376930.jpg
    uploadfromtaptalk1372927376930.jpg
    21.1 KB · Views: 38

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom