King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,641
kwani kuna tatizo gani mbona nyie mnapendaga mteremko na kulelewa sana tu bhana
Ok sa si ungesema tangia mwanzo ya nin kuzungukazunguka?
kwani kuna tatizo gani mbona nyie mnapendaga mteremko na kulelewa sana tu bhana
Hivi heee.....M INASINYAAAAAA na K INABANAAAAA Haaaa haaaaaaaaaaaMatokeo ya utumikaji wa muda mrefu mrefu wa M huwezi linganisha na wa K.
Sio hivyo najua wa hivyo hatutasumbuana hilo tu..
Mjini ukija na jembe utalima lami
1.Msikitini/Kanisani ..wengi walioenda huko saa hizi ni majanga yamewasonga
2.Swala la umri naamini atakua keshamaliza michezo yote na mauongo yote ya kucheat kwa mwanamke(matured enough)so kwakua mimi nina watoto naye pia anao kuzaa haipo...
3.Mimi nina gari mbili moja ntampatia ili tufanye mambo mengine na kiinua mgongo,Nadhani nimejibu hoja zako zote Idimi
Kwanza una miaka mingapi?Sasa kwanini useme anaefuatwa na DFP, AU, STK, STL Kamahutafuti makaratasi.
We unafuatwa na nini hebu funguka............
Huyo au hao waliokuzalisha watoto wawili walikuwa na STL/STK? Mimi pia ninafuatwa na gari lakini natafuta mwanamke lakini sio waliotumika extra mileage na kuzalishwa watoto.
Unamaanisha watu wakistaafu wanakufa?hawatakiwa kupendwa na kulelewa?mi si muuaji na sijawahi waza biashara ya ku-RIP...hahahaha,unataka mapenzi au wataka mali,unataka umpate mwanaume wa umri wa kukaribia kustaafu,ili umrestishe in PEACE.Upate urithi,karagabaho tafuta chako na wewe
Kwanza una miaka mingapi?
Mimi nimetumika siku tatu tuu... Nadhani nitakufaa..!
59 nafuatwa na SU, vipi utaniconsider?
si unamuwahisha,wewe huna mapenzi hapa unaangalia pesa tu,huna lolote miaka 32 unataka zee la miaka sawa na baba yako,Unamaanisha watu wakistaafu wanakufa?hawatakiwa kupendwa na kulelewa?mi si muuaji na sijawahi waza biashara ya ku-RIP...
Azote....THINK LIKE AMAN!
Heee kumbe sawa shida yako ni nini sasa hapo ?Huu ni umalaya wa uzeeni tu
chardams..umevuka kidogo ngoja nikikosa kabisa wa taget yangu i'll thnk bout you.
Mtoto uliyemzaaa...usiyemzaaa.....unalijua hilo mwenzangu?si unamuwahisha,wewe huna mapenzi hapa unaangalia pesa tu,huna lolote miaka 32 unataka zee la miaka sawa na baba yako,
with my two open palms...................I'll be waiting, meanwhile think of contract signing should it happen that tumefikia uamuzi wa kuwa pamoja.
Utakuwa umetumwa na sangoma/mganga...au unatafuta urithi kwa watoto wako wapate kihamba angalao...Hunipati ng'ooo,acha nibaki single hivihivi!!Habarini wadau wanajf,mimi ni mwanamama miaka 32 natafuta mume tuoane ndoa ya serikali tuu kanisani msikitini hapana...awe na miaka kuanzia 54 hadi 58 na awe mwajiriwa wa ofisi/shirika la serikali ambaye ni ofisa haijalishi kitengo lakini itapendeza kama ni wale wanaofuatwa na DFP AU STK/STL ambaye hana mke kwa sasa na kama ana watoto wasizidi watatu ili tukichanganya na wakwangu wawili wawe jumla watano.nawasilisha
Mzee mwenzangu mara ya kwanza sikutaka kukuambia tu, ni kinyume chake, M inazidi kuwa imara wakati K hulegea.Hivi heee.....M INASINYAAAAAA na K INABANAAAAA Haaaa haaaaaaaaaaa