Natafuta mume miaka 54-58

1.Msikitini/Kanisani ..wengi walioenda huko saa hizi ni majanga yamewasonga
2.Swala la umri naamini atakua keshamaliza michezo yote na mauongo yote ya kucheat kwa mwanamke(matured enough)so kwakua mimi nina watoto naye pia anao kuzaa haipo...
3.Mimi nina gari mbili moja ntampatia ili tufanye mambo mengine na kiinua mgongo,Nadhani nimejibu hoja zako zote Idimi

Somehow!
Ila nahisi una mengi zaidi ya hayo. Kila la kheri
 
Huyo au hao waliokuzalisha watoto wawili walikuwa na STL/STK? Mimi pia ninafuatwa na gari lakini natafuta mwanamke lakini sio waliotumika extra mileage na kuzalishwa watoto.

Mimi nimetumika siku tatu tuu... Nadhani nitakufaa..!
 
hahahaha,unataka mapenzi au wataka mali,unataka umpate mwanaume wa umri wa kukaribia kustaafu,ili umrestishe in PEACE.Upate urithi,karagabaho tafuta chako na wewe
Unamaanisha watu wakistaafu wanakufa?hawatakiwa kupendwa na kulelewa?mi si muuaji na sijawahi waza biashara ya ku-RIP...

Azote....THINK LIKE AMAN!
 
Unataka wa kula naye pensheni. Kuchuma wachume wengine, kula ule wewe!!
 
Unamaanisha watu wakistaafu wanakufa?hawatakiwa kupendwa na kulelewa?mi si muuaji na sijawahi waza biashara ya ku-RIP...

Azote....THINK LIKE AMAN!
si unamuwahisha,wewe huna mapenzi hapa unaangalia pesa tu,huna lolote miaka 32 unataka zee la miaka sawa na baba yako,
 
chardams..umevuka kidogo ngoja nikikosa kabisa wa taget yangu i'll thnk bout you.

I'll be waiting, meanwhile think of contract signing should it happen that tumefikia uamuzi wa kuwa pamoja.
 
si unamuwahisha,wewe huna mapenzi hapa unaangalia pesa tu,huna lolote miaka 32 unataka zee la miaka sawa na baba yako,
Mtoto uliyemzaaa...usiyemzaaa.....unalijua hilo mwenzangu?
 
Habarini wadau wanajf,mimi ni mwanamama miaka 32 natafuta mume tuoane ndoa ya serikali tuu kanisani msikitini hapana...awe na miaka kuanzia 54 hadi 58 na awe mwajiriwa wa ofisi/shirika la serikali ambaye ni ofisa haijalishi kitengo lakini itapendeza kama ni wale wanaofuatwa na DFP AU STK/STL ambaye hana mke kwa sasa na kama ana watoto wasizidi watatu ili tukichanganya na wakwangu wawili wawe jumla watano.nawasilisha
Utakuwa umetumwa na sangoma/mganga...au unatafuta urithi kwa watoto wako wapate kihamba angalao...Hunipati ng'ooo,acha nibaki single hivihivi!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom