hibiscus interior
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,168
- 596
Sema natafuta old machine sized 45-46
Kwani hana matamanio?Ushauri mzuri sana
Ni PM tafadhaliNashukuru sana kwa kunipa moyo,
ha ha haah kwahyo babu unataka msaidiaYani hata wewe unataka mwanamke mwenzio awe mpweke?? Kikojoleo kikiziba utamsaidia kukizibua??
Sana. Hata wewe ukikwama usisite kunitonya.ha ha haah kwahyo babu unataka msaidia
ha ha haah siwezi kwama we msaidie tu babuSana. Hata wewe ukikwama usisite kunitonya.
Nina miaka 30, tutaishi kiutu uzima.Natafuta mume ambae yuko serious ani pm
Nina 42 nina watoto mume wangu amefariki miaka 5 iliyopita
Nimejiajiri, najiona mpweke sina kwa sasa nahitaji mwenza
Mkristu na anaemuogopa Mungu
Ila sihitaji kuongeza watoto.
Mi nakutaka wewe bhanaa..ha ha haah siwezi kwama we msaidie tu babu
mm babu bado sijakwama nikikwama nitaleta bandiko langu alaf babu hivi utataka wangpMi nakutaka wewe bhanaa..

Mi nakutaka wewe tu. Kwani unahisi nataka wangapi?mm babu bado sijakwama nikikwama nitaleta bandiko langu alaf babu hivi utataka wangp![]()
ha ha hah si ata uyo anaetafta unamtaka mm sijakwama babu subiri nikwameMi nakutaka wewe tu. Kwani unahisi nataka wangapi?
Huyo simtafuti. Wewe ndio chaguo langu. Bora kinga kuliko tiba. Ni heri uniwahi mapema kabla hujakosaha ha hah si ata uyo anaetafta unamtaka mm sijakwama babu subiri nikwame
he he mm babu sijakwama subiri nikwame mwnywe nitakutafutaHuyo simtafuti. Wewe ndio chaguo langu. Bora kinga kuliko tiba. Ni heri uniwahi mapema kabla hujakosa
Anahitaji huduma za mwanaume kwa mke lakini hataki kufanya bila kubariki ndoa itakuwa uzinzi au uasherati ambao ni chukizo kwa Mungu. Hataki kujichua wakati wanaume wapo. Anahitaji mtu wa kushirikiana nae kimawazo na siri za ndani kabisa. Kuvua nguo mbele ya mtu mmoja tu wa jinsia tofauti nawe na kucheza kama vile mko na umri wa miaka 3 kunapunguza stress na kuongeza siku za kuishi.Miaka 42 si bora tu ulee wanao maana hiyo miaka tena uanze kupata stress za mume jamani??
Ni ww tu nakusubiri mama.....jipange sasa
Uchoyo si kitu kizuri. Umepewa bure, toa bure.he he mm babu sijakwama subiri nikwame mwnywe nitakutafuta