Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 8,202
- 14,122
Mkuu pole kwa kuondokewa na mumeNatafuta mume ambae yuko serious ani pm
Nina 42 nina watoto mume wangu amefariki miaka 5 iliyopita
Nimejiajiri, najiona mpweke sina kwa sasa nahitaji mwenza
Mkristu na anaemuogopa Mungu
Ila sihitaji kuongeza watoto.
Wengi wanatakuja na matani kebehi na zaidi kukuvunja moyo
Timiza haja ya moyo wako
Umri si kigezo cha kukosa kuolewa tena
Watoto ni faraja yako isiwe kizuizi cha kutimiza haja ya moyo wako
Watakuja wengi tumia busara katika maamuzi yako
.....Kwa taarifa yako utamu wa dyudyu hauchagui umri!