Natafuta mume 45-55

Natafuta mume 45-55

Le Mutuz yuko wapi... ila yeye anaitafuta sabini😀
 
Natafuta mume ambae yuko serious ani pm
Nina 42 nina watoto mume wangu amefariki miaka 5 iliyopita
Nimejiajiri, najiona mpweke sina kwa sasa nahitaji mwenza
Mkristu na anaemuogopa Mungu
Ila sihitaji kuongeza watoto.
Hii ni ID yako mpya sio?
 
Anahitaji huduma za mwanaume kwa mke lskini hataki kufanya bila kubariki ndoa itakuwa uzinzi au uasherati ambao ni chukizo kwa Mungu. Hataki kujichua wakati wanaume wapo. Anahitaji mtu wa kushirikuana nae kimawazo na siri za ndani kabisa. Kuvua nguo mbele ya mtu mmoja tu wa jinsia tofauti nawe na kucheza kama vile mko na umri wa miaka 3 kunapunguza stress na kuongeza sikuvza kuishi.
Bora unisaidie
 
All the same. Grandpa is a hubby of a grandchild...

Will you merry me?
ha ha ha babu we ni mwehu ujana wako umekula na nan uzee uje kwangu sipo tayali kuolewa na ww sitaki mambo ya kuanza kukuchemshia maji ya moto mm na ww tule bata tu sio mambo ya ndoa nakuja PM tusiwape watu faida
 
ha ha ha babu we ni mwehu ujana wako umekula na nan uzee uje kwangu sipo tayali kuolewa na ww sitaki mambo ya kuanza kukuchemshia maji ya moto mm na ww tule bata tu sio mambo ya ndoa nakuja PM tusiwape watu faida
Basi sawa. Tukaongee yetu PM. Hapa wanga wengi.

Afu ntake radhi kuniita mwehu. Utapata laana ujue
 
Hizi ID fake za humu unaweza kumtongoza dada yako, au mkeo kwa mara ya pili unadhani unachepuka kumbe unajikamatisha red handed. Unaweza kuta huyu ni dada wa mkeo afu ndio unatuma PM yako kisha siku ya kuonana unakuta dada wa mkeo au dada wako. Utaisoma namba...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom