Joycefull
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 770
- 391
ulitakaje sasaMawazo ya kujifariji.........
ulitakaje sasaMawazo ya kujifariji.........
Watapima na aliyeko tayari hata akisema ndiyo hawezi kuaminiwa!Umepima?
Amesema hataki kuongeza watoto kwa hyo hata akikoma hedhi so be it.Unataka akae miaka yote bila muhogo wa jang'ombe?au unataka azini?hamna cha dildo wala nn mda si mrefu hapo anakoma hedhi angevumilia tu alee wanae wanaume wenywe nyie msiopenda watto wa wenzenu
Wajukuu wanalelewa na mama zao na baba zao anaitaji Wa kumliwaza nakuunga mkono upweke uleta stressMiaka 42 si bora tu ulee wanao maana hiyo miaka tena uanze kupata stress za mume jamani??
Hisia za mwili azizuiliki ni fikra za muonekano Wa single mother lakini kuna uathilikaji kimwili na kirohomume wa nin bhana?single Maza poa tu tunalisongesha kigumu
so unanisaidiajeHisia za mwili azizuiliki ni fikra za muonekano Wa single mother lakini kuna uathilikaji kimwili na kiroho
nilitaka uje kwngulitakaje sasa
Aliyekudanganya mume ni stress ni nani??Miaka 42 si bora tu ulee wanao maana hiyo miaka tena uanze kupata stress za mume jamani??
Yani hata wewe unataka mwanamke mwenzio awe mpweke?? Kikojoleo kikiziba utamsaidia kukizibua??Ushauri mzuri sana
Mmh umeanza lini hiyo huduma?Ni pm kwa maombi zaidi
Mungu na akujaalie hitaji la Moyo wako...bora unisaidie kusema watoto wana nafasi yao na mume ana nafasi yake katika maisha umri huu sio wa kupewa stress na mtu ,pia watoto wanaondoka nyumbani mapema sana wakiingia chuo nabaki mwenyewe home fikiria huo upweke ukoje
hahahahaNi pm kwa maombi zaidi
Mtu kashaishi kwenye ndoa sema bahati mbaya mwenzie katangulia mbele ya haki... Tamu na chungu ya ndoa anazijua...Ungekomaa na watoto... La sivyo utakuja urudi kuomba ushauri
Natafuta mume ambae yuko serious ani pm
Nina 42 nina watoto mume wangu amefariki miaka 5 iliyopita
Nimejiajiri, najiona mpweke sina kwa sasa nahitaji mwenza
Mkristu na anaemuogopa Mungu
Ila sihitaji kuongeza watoto.
jipange sasanilitaka uje kwng
Nashukuru sana kwa kunipa moyo,Nampongeza dada amekuwa muwazi sana. Nashangaa bado mnafanya masihara na ujumbe wa dada kuomba msaada. Ukishaoa au kuolewa utamuelewa zaidi muhusika ila kama ni wale serengeti gelz na boys humu mnaolelewa na wazee wanasiasa hamuwezi kuelewa hili suala. (Culprits watakuja kurusha utetezi wao hapa)
Bi dada nakuelewa vema kwenye hili suala lako. Nakuombea kwa Mungu na nakuomba pia suala hili ungeliwekea uzito wa kipekee uliombee wewe binafsi ili Mungu akupatie jibu maridhawa.
Swali la msingi, watoto wako wana umri gani na jinsia zao zikoje? Hili litamsaidia sana yule ajaye kupata picha kamili anakoelekea.
Natumai hutajali kufunguka zaidi.
Mungu akusadie haraka iwezekanavyo. Amen