Natafuta mume 45-55

Natafuta mume 45-55

Honey Faith, umeolewa weye? Mwenzio aliolewa mumewe akatangulia mbele za haki, kwa hiyo anajua chungu na tamu za mume; na baada ya kupima ameona upweke una gharama kuliko ndoa.

Tatizo letu ni kudhani kuwa ndoa zote ni taabu kitu ambacho sio sahihi hata kidogo.

Vv
bora unisaidie kusema watoto wana nafasi yao na mume ana nafasi yake katika maisha umri huu sio wa kupewa stress na mtu ,pia watoto wanaondoka nyumbani mapema sana wakiingia chuo nabaki mwenyewe home fikiria huo upweke ukoje
 
Natafuta mume ambae yuko serious ani pm
Nina 42 nina watoto mume wangu amefariki miaka 5 iliyopita
Nimejiajiri, najiona mpweke sina kwa sasa nahitaji mwenza
Mkristu na anaemuogopa Mungu
Ila sihitaji kuongeza watoto.
 
Natafuta mume ambae yuko serious ani pm
Nina 42 nina watoto mume wangu amefariki miaka 5 iliyopita
Nimejiajiri, najiona mpweke sina kwa sasa nahitaji mwenza
Mkristu na anaemuogopa Mungu
Ila sihitaji kuongeza watoto.
 
bora unisaidie kusema watoto wana nafasi yao na mume ana nafasi yake katika maisha umri huu sio wa kupewa stress na mtu ,pia watoto wanaondoka nyumbani mapema sana wakiingia chuo nabaki mwenyewe home fikiria huo upweke ukoje

Wengi wanaodai mume/mke ni stress hawana ndoa bali wanachungulia na kuonea huruma wenzao walio kwenye ndoa. Ajabu ni kuwa hawajiulizi kwa nini pamoja na hizo stress za kwenye ndoa za wenzao/marafiki, lkn hawajiulizi kwa nini hao waliomo kwenye stress za mume/mke bado wanang'ang'ania kuwemo ndani ya hizo ndoa.

Vv
 
mume wa nin bhana?single Maza poa tu tunalisongesha kigumu

Amesema yeye ni mkristo anayemuogopa mungu....umemuelewa hapo? Atalisongesha vipi kiugumu as single mother bila kuchepuka a.k.a kuzini??
 
Vp phiscal apearance au s shida kwako... mfupi, mrefu, mnene, mwembamba n.k
 
Natafuta mume ambae yuko serious ani pm
Nina 42 nina watoto mume wangu amefariki miaka 5 iliyopita
Nimejiajiri, najiona mpweke sina kwa sasa nahitaji mwenza
Mkristu na anaemuogopa Mungu
Ila sihitaji kuongeza watoto.
Naona siqualify nahitaji mtoto japo umri nipo in range. Goodluck zed
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom