Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,844
- 52,251
Mkuu ameomba mtu wa kumshika mkono, Au ww unahs kuuza uji mchezosio rahsi kama unavodhani
Mkuu naomba nielekeze biashara rahisi japo moja nikapambane
Mkuu ameomba mtu wa kumshika mkono, Au ww unahs kuuza uji mchezosio rahsi kama unavodhani
Unahs mtu aliezoea kukaa ofisini most of times ni rahsi baada ya kuachishwa kazi kuweza tembeza uji? Mental health ni muhimu, pia ni lazima ajipange psychologically,Haya ndio ulitakiwa uyaseme sio kumbeza alietoa wazo la kuuza uji. Ni mjadala huru.
Duh kazi ipo.Unahs mtu aliezoea kukaa ofisini most of times ni rahsi baada ya kuachishwa kazi kuweza tembeza uji? Mental health ni muhimu, pia ni lazima ajipange psychologically,
Hilo wazo la kuuza uji lingekua ni very last option kabisa baada ya Watu hapa JF kuhitimisha kuwa hawawez msaidia kabisa, you guys are jokers you are not taking it seriously , it's someone Life here we are trying to help.
Kuna muda Watu mnajisahau sana you can't be joking about everything there are times to be serious
Mkuu nmetoa ideas so nying but very potential katk forums ninazopita pita, may be go through my post utapata kitu.Mkuu naomba nielekeze biashara rahisi japo moja nikapambane
Sio Kwa ubaya ndugu yangu ,Duh kazi ipo.
Mtego, mtego. Nasema, mtego........Nina imani njia nzuri itakuwa nawe, ila wakuu kuweni makini -tafakari kwa umakini
why ataje kiasi Cha pesa alichonacho??, aweke namba ya simu kirahisi hivyoo ?? Mshana Jr uzi wako unataka kutimia hapa
Ni kweli inatakiwa ajiandae mental af mazingira ya home dah jau Mungu akufanikishe mwanasuaso.Unahs mtu aliezoea kukaa ofisini most of times ni rahsi baada ya kuachishwa kazi kuweza tembeza uji? Mental health ni muhimu, pia ni lazima ajipange psychologically,
Hilo wazo la kuuza uji lingekua ni very last option kabisa baada ya Watu hapa JF kuhitimisha kuwa hawawez msaidia kabisa, you guys are jokers you are not taking it seriously , it's someone Life here we are trying to help.
Kuna muda Watu mnajisahau sana you can't be joking about everything there are times to be serious
Umemaliza na kina kasanga pale SUA?Tafadhali saidia wengine Kama upo kwenye mazingira ya kumsaidia mtu.
Wewe unaweza ukawa Ni daraja la mtu fulani kufanikiwa. Yawezekana kwake ikawa mlima Ila kwako Ni mteremko.
Think of this,
How does it feel when there is someone out there standing on his feet because of the support you gave him.
Natafuta mtu wa kunishika mkono katika safari yangu ya kujitafutia kipato, nitakuheshimu, utakuwa na nafasi kubwa sana katika maisha yangu. Utakuwa baba ama mama ama Kaka katika maisha yangu.
Please nilelekeze tu kwamba fanya ABC , nitajituma kadri niwezavyo , nitafuata njia utakazonielekeza ili mradi tu iwe njia ya halali ili niweze kujiingizia kipato. Hapa nilipo Nina 200K tu nliyobaki nayo. Mimi Ni KE, Ninapatikana Dar, kinondoni. Nimesoma Bachelor of Science in Agricultural Economics and Agribusiness. Nimefanya internship kwa miaka mitatu kwenye taasisi tofautitofauti.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Namba yangu ya simu 0713237228.
Please call me Kama imekugusa.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
umemaliza mwaka gani?
Kwa hiyo hiyo namba ya Simu Siyo yako, haijasajiliwa Kwa majina yako?Please Kama , unadhani Kuna utapeli hapa, Kama unadhani Kuna janja janja ya aina yeyote , Sina nia hiyo, nimeweka namba kwa sababu PM zimefungwa sikuhizi na moderators, email yangu siwezi weka kwa sababu Ina majina yangu mawili halisi , na Ni njia rahisi ya kufikiwa.
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app