MUBENDE
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 1,585
- 2,729
Pita pale Mbagala rangi 3 kuna kampuni inaitwa ITC CARGO wanahifadhi mbolea na niwana wafanyakazi wengi inaweza kuwa bahati yako. Mungu akujaalie yaliyo mema ktk utafutaji wako.
Pita pale Mbagala rangi 3 kuna kampuni inaitwa ITC CARGO wanahifadhi mbolea na niwana wafanyakazi wengi inaweza kuwa bahati yako. Mungu akujaalie yaliyo mema ktk utafutaji wako.
Ubarikiwe mkuuPita pale Mbagala rangi 3 kuna kampuni inaitwa ITC CARGO wanahifadhi mbolea na niwana wafanyakazi wengi inaweza kuwa bahati yako. Mungu akujaalie yaliyo mema ktk utafutaji wako.
Huo ndio ukweliReally? Nitakuja kuwapa update hapa ya kila kitu kitakachoendelea.
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
.rushwa ya ngono itakuhusu alafu unaweza ingizwa mjiniNi-pm mimi mkuuZimefungwa tokea lini? Mbona zinafanya kazi?
Sijakuelewa mkuuNi-pm mimi mkuu
HahaaaDah kama vile mawaona mabazazi wa jf wakisave namba kwanza waone profile yako umeweka picha yako WhatsApp




Struggle is real utapata wa kukushika mkonoTafadhali saidia wengine Kama upo kwenye mazingira ya kumsaidia mtu.
Wewe unaweza ukawa Ni daraja la mtu fulani kufanikiwa. Yawezekana kwake ikawa mlima Ila kwako Ni mteremko.
Think of this,
How does it feel when there is someone out there standing on his feet because of the support you gave him.
Natafuta mtu wa kunishika mkono katika safari yangu ya kujitafutia kipato, nitakuheshimu, utakuwa na nafasi kubwa sana katika maisha yangu. Utakuwa baba ama mama ama Kaka katika maisha yangu.
Please nilelekeze tu kwamba fanya ABC , nitajituma kadri niwezavyo , nitafuata njia utakazonielekeza ili mradi tu iwe njia ya halali ili niweze kujiingizia kipato. Hapa nilipo Nina 200K tu nliyobaki nayo. Mimi Ni KE, Ninapatikana Dar, kinondoni. Nimesoma Bachelor of Science in Agricultural Economics and Agribusiness. Nimefanya internship kwa miaka mitatu kwenye taasisi tofautitofauti.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Namba yangu ya simu 0713237228.
Please call me Kama imekugusa.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Kwanin moderator wamefunga pm zakoPlease Kama , unadhani Kuna utapeli hapa, Kama unadhani Kuna janja janja ya aina yeyote , Sina nia hiyo, nimeweka namba kwa sababu PM zimefungwa sikuhizi na moderators, email yangu siwezi weka kwa sababu Ina majina yangu mawili halisi , na Ni njia rahisi ya kufikiwa.
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
AmenStruggle is real utapata wa kukushika mkono
Wamefunga za kila mtuKwanin moderator wamefunga pm zako
Wataingia Cha kike na Kuna mtu au watu wako targeted apa
AmenNimekumbuka Uzi wako ulioomba ushauri kuwa uwaambie rafiki zako kuwa umepoteza kazi.
Na ukawe ushuhuda mahali hapa kwa kuwa unalopita nalo wewe tayari ni mshindi.
Aisee ngoja na mimi nifanye hivyoDah kama vile mawaona mabazazi wa jf wakisave namba kwanza waone profile yako umeweka picha yako WhatsApp