Natafuta mtu wa kunishika mkono

berylyn

JF-Expert Member
Dec 26, 2021
863
2,534
Tafadhali saidia wengine Kama upo kwenye mazingira ya kumsaidia mtu.
Wewe unaweza ukawa Ni daraja la mtu fulani kufanikiwa. Yawezekana kwake ikawa mlima Ila kwako Ni mteremko.

Think of this,
How does it feel when there is someone out there standing on his feet because of the support you gave him.

Natafuta mtu wa kunishika mkono katika safari yangu ya kujitafutia kipato, nitakuheshimu, utakuwa na nafasi kubwa sana katika maisha yangu. Utakuwa baba ama mama ama Kaka katika maisha yangu.

Please nilelekeze tu kwamba fanya ABC , nitajituma kadri niwezavyo , nitafuata njia utakazonielekeza ili mradi tu iwe njia ya halali ili niweze kujiingizia kipato. Hapa nilipo Nina 200K tu nliyobaki nayo. Mimi Ni KE, Ninapatikana Dar, kinondoni. Nimesoma Bachelor of Science in Agricultural Economics and Agribusiness. Nimefanya internship kwa miaka mitatu kwenye taasisi tofautitofauti.

Natanguliza shukrani zangu za dhati.

Namba yangu ya simu .
Please call me Kama imekugusa.

Natanguliza shukrani zangu za dhati.
 
1. Una elimu gani?
2. Kazi za aina gani unazo weza.
3. Kazi za aina ipi unapendelea?

Jaribu kuweka informatios nyingi kadiri uwezavyo, pindi unapoelezea shida zako. Namba ya simu haitakiwi kuwa hadharani hivyo, unless uombwe.

Note: 2 na 3 ni vitu viwili tofauti.
 
Nina imani njia nzuri itakuwa nawe, ila wakuu kuweni makini -tafakari kwa umakini

why ataje kiasi Cha pesa alichonacho??, aweke namba ya simu kirahisi hivyoo ?? Mshana Jr uzi wako unataka kutimia hapa
 
Nina imani njia nzuri itakuwa nawe, ila wakuu kuweni makini -tafakari kwa umakini

why ataje kiasi Cha pesa alichonacho??, aweke namba ya simu kirahisi hivyoo ?? Mshana Jr uzi wako unataka kutimia hapa
sio kila mtu ni wa kumuhisi vibaya jamani huyu dada anaonesha kabisa anashida make follow up then urudi hapa.
 
Tafadhali saidia wengine Kama upo kwenye mazingira ya kumsaidia mtu.
Wewe unaweza ukawa Ni daraja la mtu fulani kufanikiwa. Yawezekana kwake ikawa mlima Ila kwako Ni mteremko.

Think of this,
How does it feel when there is someone out there standing on his feet because of the support you gave him.

Natafuta mtu wa kunishika mkono katika safari yangu ya kujitafutia kipato, nitakuheshimu, utakuwa na nafasi kubwa sana katika maisha yangu. Utakuwa baba ama mama ama Kaka katika maisha yangu.

Please nilelekeze tu kwamba fanya ABC , nitajituma kadri niwezavyo , nitafuata njia utakazonielekeza ili mradi tu iwe njia ya halali ili niweze kujiingizia kipato. Hapa nilipo Nina 200K tu nliyobaki nayo. Mimi Ni KE, Ninapatikana Dar, kinondoni. Nimesoma Bachelor of Science in Agricultural Economics and Agribusiness. Nimefanya internship kwa miaka mitatu kwenye taasisi tofautitofauti.

Natanguliza shukrani zangu za dhati.

Namba yangu ya simu 0713237228.
Please call me Kama imekugusa.

Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Utafanikiwa usijari..
 
Tafadhali saidia wengine Kama upo kwenye mazingira ya kumsaidia mtu.
Wewe unaweza ukawa Ni daraja la mtu fulani kufanikiwa. Yawezekana kwake ikawa mlima Ila kwako Ni mteremko.

Think of this,
How does it feel when there is someone out there standing on his feet because of the support you gave him.

Natafuta mtu wa kunishika mkono katika safari yangu ya kujitafutia kipato, nitakuheshimu, utakuwa na nafasi kubwa sana katika maisha yangu. Utakuwa baba ama mama ama Kaka katika maisha yangu.

Please nilelekeze tu kwamba fanya ABC , nitajituma kadri niwezavyo , nitafuata njia utakazonielekeza ili mradi tu iwe njia ya halali ili niweze kujiingizia kipato. Hapa nilipo Nina 200K tu nliyobaki nayo. Mimi Ni KE, Ninapatikana Dar, kinondoni. Nimesoma Bachelor of Science in Agricultural Economics and Agribusiness. Nimefanya internship kwa miaka mitatu kwenye taasisi tofautitofauti.

Natanguliza shukrani zangu za dhati.

Namba yangu ya simu 0713237228.
Please call me Kama imekugusa.

Natanguliza shukrani zangu za dhati.


Nimehisi tu unapitia msongo flani hivi wa mawazo ila utavuka tu ..worry not..
 
1. Una elimu gani?
2. Kazi za aina gani unazo weza.
3. Kazi za aina ipi unapendelea?

Jaribu kuweka informatios nyingi kadiri uwezavyo, pindi unapoelezea shida zako. Namba ya simu haitakiwi kuwa hadharani hivyo, unless uombwe.

Note: 2 na 3 ni vitu viwili tofauti.
Elimu yangu: Bachelor degree Agricultural Economics and Agribusiness
Kazi ninazoweza, both field and office works, kazi zote ambazo naweza kufundishwa namna ya kuzifanya naweza fanya.
Napendelea kazi ambazo zina favourable working environment , both mentally and physically.

Pia kazi za viwandani.

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
NIWAONYE MAJIZI YA JF, MSIOKUA NAHAYAAA, NA WENYE KUJIFANYA WENYE HURUMA.

NAJUA MPO, MTAKAOMWAMBIA DADA WAWATU

""KUNA KAZI NIMEIPATA ILA TUMA LAKI MOJA, ELFU HAMSINI, TUMA LAKI TATU ( UKIJUA HANA) KISHA UTAMWAMBIA, BASI TUMA HIYO LAKI MBILI NITAKUONGEZEA LAKI MOJA YANGU ".

WENGINE MPO MTAKAODIRIKI KUMTUMIA HATA ELFU HAMSINI AU LAKI , KISHA BAADAE MTAJIFANYA KUMWAMBIA, AWATUMIE LAKI MBILI HAMSIN ILI MUMUUNGE KAZIN.


NYINYI NYOTE KWA PAMOJA, ILI HALI NI MAJIZI ,MSOKUA NA UTU, MATAPELI.

MKOME NA MSHINDWE KABISAAA, NA MLAANIWE.
 
Please Kama , unadhani Kuna utapeli hapa, Kama unadhani Kuna janja janja ya aina yeyote , Sina nia hiyo, nimeweka namba kwa sababu PM zimefungwa sikuhizi na moderators, email yangu siwezi weka kwa sababu Ina majina yangu mawili halisi , na Ni njia rahisi ya kufikiwa.

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
NIWAONYE MAJIZI YA JF, MSIOKUA NAHAYAAA, NA WENYE KUJIFANYA WENYE HURUMA.

NAJUA MPO, MTAKAOMWAMBIA DADA WAWATU

""KUNA KAZI NIMEIPATA ILA TUMA LAKI MOJA, ELFU HAMSINI, TUMA LAKI TATU ( UKIJUA HANA) KISHA UTAMWAMBIA, BASI TUMA HIYO LAKI MBILI NITAKUONGEZEA LAKI MOJA YANGU ".

WENGINE MPO MTAKAODIRIKI KUMTUMIA HATA ELFU HAMSINI AU LAKI , KISHA BAADAE MTAJIFANYA KUMWAMBIA, AWATUMIE LAKI MBILI HAMSIN ILI MUMUUNGE KAZIN.


NYINYI NYOTE KWA PAMOJA, ILI HALI NI MAJIZI ,MSOKUA NA UTU, MATAPELI.

MKOME NA MSHINDWE KABISAAA, NA MLAANIWE.
Naomba wasije kabisa washindwe watu wa namna hiyo.

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom