Mkeo ndo wakukutoa stresss tu
Hapa ndo napowashangaa jinsia me ukipata mdada afu penz lilakolea utaamia kwake au utataka ikifka saa 4 uende kwa mkeo yy abak anaumia mmmm afu stres akupe nan faraja akupe mwajuma....pambana mzee
Unasambaza hiyo huduma mkuu?Inshort unataka kamchepukooo ?
Oyaaaaaaa mkuuu vipii tenaUnasambaza hiyo huduma mkuu?
Mkuu kwani kuwa kuwadi ni dhambi?Oyaaaaaaa mkuuu vipii tena
Hao wote unaishi nao nyumba moja. Mfano wako hauna mantiki kwa waliooa. Hujua hao watu hubadilika baada ya kuolewa. Oa halafu ndio utamuelewa mleta mada.Nina mademu watatu wote niliwahidi nitawaoa wote wananisumbua kwelikweli bado Nina makoloni mengine manne yananipenda kwelikweli wivu ndo usiseme ni pasua kichwa
we mwanamke mmoja ndo anakushinda ? hili si balaa hili
Watu hawaelewi maana ya stress. Kuna kero ambazo kwa mwingine ni ndogo lakini kwangu ikawa kubwa. Hakuna maisha mazuri kama peace of mind. Wadau wanadhani kila kitu kina solution moja.Sasa unataka tukae na mtu wa kutupa stress tugundue nini
Naenda kwa asha kupata faraja baadae narudi kwa mke wangu amina mwenye gubu kwakua narudi usiku sana stress zake nazikwepa ukirudi nikulala tu .na kwa stail hyo lazima anyooke tu abadilike
Wanaume tuna life span fupi ya nini kujitesa
Mama bado nakunyemelea!Uje na mrejesho
Mama bado nakunyemelea!
Wewe ulianza kwa kumpa like yule mlokole wa makapuku forum ambae hukumuonea hata huruma?Utaishiaaa kumpaa likes
😂😂😂😂😂😂😂😂Wewe ulianza kwa kumpa like yule mlokole wa makapuku forum ambae hukumuonea hata huruma?
Jiandae wife wako atahitaji kutulizwa piaMm ni kijana mwenye umri wa 31 years old nipo kwenye ndoa huu ni mwaka wa pili nauanza but nimegunduaa Ndoa inachangamoto nyingi sana.
Inshort nimekua ni mtu wa stress muda mwingi sana maana mm sio muongeaji sana so nahisi naumiaaa kimoyomoyo.(kero ndogondogo kutoka kwa wife).
Hivyo basi nahitaji mdada yeyote anayeweza kunitoa ktk stress nilizonazo (urafiki) Maana nahisi naweza kuumia bure
Aiseee yani PM hakuna hata txt moja ......wanawake wa humu mbona mnakuaa wakatiliii hivi jamaniii?