Natafuta mtu wa kuniondolea stress

Natafuta mtu wa kuniondolea stress

chichi pilato

Senior Member
Joined
May 26, 2019
Posts
132
Reaction score
97
Mm ni kijana mwenye umri wa 31 years old nipo kwenye ndoa huu ni mwaka wa pili nauanza but nimegunduaa Ndoa inachangamoto nyingi sana.

Inshort nimekua ni mtu wa stress muda mwingi sana maana mm sio muongeaji sana so nahisi naumiaaa kimoyomoyo.(kero ndogondogo kutoka kwa wife).

Hivyo basi nahitaji mdada yeyote anayeweza kunitoa ktk stress nilizonazo (urafiki) Maana nahisi naweza kuumia bure
 
Wasiliana na huyu mrembo financial services mnaweza kuyajenga mkuu. Na kukushauri

Upo tayari kuvunja agano kanisani?
Ndoa yako inachangamoto zipi tukushauri. Tatizo halitatuliwi kwa kutafuta mwanamke mwingine. Bali kwa kukaa chin na kusolve hizo changamoto.

Ukiongeza mwingine ujue umemultiply matatizo
Kwa hio umeamua kumtumia mrembo wangu financial services kama kipoozeo cha jamaa? Hebu jiheshimu mkuu!
 
nasikia sikia tu eti lulu alimuondoa msanii....
nasikia sikia tu eti msanii alimuondoa itv
 
Mwanamke unaeishi nyumba 1 amekupatia stress hujiwezi, mwanamke 1 ambaye hatoishi na wewe pamoja atakupatia uchizi kabisa,.
Ushauri jipe mda jitulize kwanza na tafuta mtalaamu wa akili mweleze matatizo yako akupe mbinu jinsi ya kutatua.

Mwanaume akimbii tatizo kwa kuliendea tatizo jipya tatua changamoto zinazokukabili badilika jifunze kuwa muongeaji ata kwa kujilazimisha matatizo mengine wewe ndio chanzo cha ukimya wako kuwa mkali bwana duh... Acha woga.
 
Relax mkuu, ndio kwanza mmevuka ubungo mataa unataka kufaulisha abiria!. Hivi yule msanii aliyeimba hilooo ni chaguo lako alikuwa anawaza nini?

Kwani mkuu huko unapokaa, kufanya kazi huwezi pata mchepuko? Ukipata muda peleka zawadi na samahani kwa babaako, maana ulivyokuwa mdogo, ulikuwa unaimba nani kama mama na kumuona mzee anazingua. Now it's your turn, relax
 
Yatakuwa MAJANGA hakawii kujitundika au kutafuta sumu ya panya akabwia debe 😜

Mwanamke mmoja anakupasua hivo?

Je ukiwa nao wawili itakuwaje?

By the way huko unapotaka kwenda utakutana na kero kubwa kubwa tu.
 
Back
Top Bottom