chichi pilato
Senior Member
- May 26, 2019
- 132
- 97
Mm ni kijana mwenye umri wa 31 years old nipo kwenye ndoa huu ni mwaka wa pili nauanza but nimegunduaa Ndoa inachangamoto nyingi sana.
Inshort nimekua ni mtu wa stress muda mwingi sana maana mm sio muongeaji sana so nahisi naumiaaa kimoyomoyo.(kero ndogondogo kutoka kwa wife).
Hivyo basi nahitaji mdada yeyote anayeweza kunitoa ktk stress nilizonazo (urafiki) Maana nahisi naweza kuumia bure
Inshort nimekua ni mtu wa stress muda mwingi sana maana mm sio muongeaji sana so nahisi naumiaaa kimoyomoyo.(kero ndogondogo kutoka kwa wife).
Hivyo basi nahitaji mdada yeyote anayeweza kunitoa ktk stress nilizonazo (urafiki) Maana nahisi naweza kuumia bure