Natafuta mtu wa kuniondolea stress

Natafuta mtu wa kuniondolea stress

Relax mkuu, ndio kwanza mmevuka ubungo mataa unataka kufaulisha abiria!.
Hivi yule msanii aliyeimba hilooo ni chaguo lako alikuwa anawaza nini?
Kwani mkuu huko unapokaa, kufanya kazi huwezi pata mchepuko?
Ukipata muda peleka zawadi na samahani kwa babaako, maana ulivyokuwa mdogo, ulikuwa unaimba nani kama mama na kumuona mzee anazingua. Now it's your turn, relax
Sentensi ya mwisho nimeielewa🥂🥂😘
 
Nina mademu watatu wote niliwahidi nitawaoa wote wananisumbua kwelikweli bado Nina makoloni mengine manne yananipenda kwelikweli wivu ndo usiseme ni pasua kichwa


we mwanamke mmoja ndo anakushinda ? hili si balaa hili
 
Acha kumtisha


Mtoto akililia wembe mpe
Mwanamke mmoja anakupasua hivo?

Je ukiwa nao wawili itakuwaje?

By the way huko unapotaka kwenda utakutana na kero kubwa kubwa tu.
 
Mke 1 anakusumbua halafu uongeze na mchepuko utajitundika na akijua kwa mkeo unapata stress utaperekeshwa mpaka ujute, sasa nawewe 31yrs hujielewi kweli? Wanaume wa siku hizi vipi? Umri huo unashindwa ufanye nini unaweza kuta mkeo anamiaka 24 anakuzungusha kama pia kuwa na akili basi za ndoa, muwe mnapata mafundisho ya ndoa mapema
 
Stress hazipunguzwi na Mchepukool labda genyee tuu ndo atakupunguziaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nenda datin site km badoo. Tinder. Tagged. Hitwe. Nk . Au njoo PM nkupe namb zao maana hii ndio library yao..
 
Mm ni kijana mwenye umri wa 31 years old nipo kwenye ndoa huu ni mwaka wa pili nauanza but nimegunduaa Ndoa inachangamoto nyingi sana.

Inshort nimekua ni mtu wa stress muda mwingi sana maana mm sio muongeaji sana so nahisi naumiaaa kimoyomoyo.(kero ndogondogo kutoka kwa wife) .

Hivyo basi nahitaji mdada yeyote anayeweza kunitoa ktk stress nilizonazo.(urafiki) Maana nahisi naweza kuumia bure

31years bado una miaka mingi mbele.utaweza kufanya makubwa.sasa fanya uanze kuhudhuria kwenye nyumba za ibada na umuombe Mungu akuondolee stress.utapata ahueni ya kudumu mkuu.sababu unaweza ukapata msichana mwingine aka double stresss zako ukapunguza siku za kuishi. Just note,Ndoa nyingi ni mawindo ya shetani.Ukijikabidhi kwa Mungu shetani huwa anachemsha.
 
Inshort sitaki maombi wala nini yani mm kwa sasa nahitaji kamchepuko tu ili nitulize nafsi
 
Ndoa Sasa Naona Ndiyo Ugonjwa Mbaya Sana Kuliko Maradhi Mengine, Kila Kukicha Afadhali Ya Jana
KIla ugonjwa unakuwa mkubwa pale unapoumwa ugonjwa huo.. Na kila mgonjwa unakuwa mdogo kama huumwi ugonjwa huo...

UMESHAWHI MSIKIA ANAYEUMWA JINO ANACHOKISEMA JUU YA KUUMWA JINO? WA SIKIO JE?

Sasa na ndo hivyo hivyo, aliye ndoani anaona yeye ndo anapata tabu sana kuliko mwenye ndo mwingine au kuliko aliye single... Na aliye single naye hivyo hivyo, hasa anapoanza kupata pressure za kijamii
 
Back
Top Bottom