Ramea
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 2,146
- 4,090
NAOMBENI MSAADA WA KUFUGA NGURUWE 500. Eneo kubwa kiasi gani NAHITAJI? Mabanda mangapi? Gharama ya chakula na Dawa.
500 Ni Wengi Sana, Unahitaji Eneo Kama Manzese Yote.
NAOMBENI MSAADA WA KUFUGA NGURUWE 500. Eneo kubwa kiasi gani NAHITAJI? Mabanda mangapi? Gharama ya chakula na Dawa.
Hilo ni bonge la dili;
Kama wote hapo juu watakuwa wasanii, nitafute tufuge samaki
biashara haramu hiyo
acha.
biashara haramu hiyo
acha.
Dada hujambo lakini,
Hao samaki tutafugia wapi? Hapo Mafinga au Dar?
Kwa sasa nipo kibaha,
nasikia hali ya hewa pwani ni nzur sana kwa kufuga samaki.
Ndo inayolipa, angalia bange,sembe,machozi ya simba, nk nk
M pm huyu hapa faiza foxy
500 Ni Wengi Sana, Unahitaji Eneo Kama Manzese Yote.
NAOMBENI MSAADA WA KUFUGA NGURUWE 500. Eneo kubwa kiasi gani NAHITAJI? Mabanda mangapi? Gharama ya chakula na Dawa.
500 Ni Wengi Sana, Unahitaji Eneo Kama Manzese Yote.
Nawewe unafuga mkuu?Si kweli,nguruwe 500 ni wachache sana.Kiasi kuwa unaweza ukatumia eneo dogo kama nusu heka,kwa kujenga banda kubwa halafu ukakata vyumba ndani yake.mfano mzuri ni Jamaa wapo vikindu ambao Mimi huwa naamini wanaongoza kwa Ufugaji Wa nguruwe
Hawa Jamaa wana nguruwe zaidi ya 3000 na eneo walilotumia kujenga mabanda yao ni kama heka moja
nguruwe za huku ni bange hiyo mapambo watakula kama keki... ila ntakutembelea