Natafuta mtu wa kufuga nae nguruwe

Natafuta mtu wa kufuga nae nguruwe

Si kweli,nguruwe 500 ni wachache sana.Kiasi kuwa unaweza ukatumia eneo dogo kama nusu heka,kwa kujenga banda kubwa halafu ukakata vyumba ndani yake.mfano mzuri ni Jamaa wapo vikindu ambao Mimi huwa naamini wanaongoza kwa Ufugaji Wa nguruwe
Hawa Jamaa wana nguruwe zaidi ya 3000 na eneo walilotumia kujenga mabanda yao ni kama heka moja
nguruwe 500 ni ekari kama tano ila inategemea mabanda unajengaje! na je nguruwe hao ni watoto ama wakubwa
 
Habari zenu wakuu,

Nina mpango wa kufuga nguruwe lakini nina changamoto moja kubwa ninayoipata hivyo nahitaji mtu wa kuingia nae ubia tufanye pamoja.

Vigezo:
i. Huyo mtu awe na eneo la kufugia
ii. Hilo eneo liwe pembezoni mwa jiji la Dar au mkoa wa Pwani au Morogoro

Yawezekana tayari umeshaanza kufuga unahitaji mtu wa kuongeza nae nguvu

Yawezekana hujaanza ila upo mbioni kuanza ningependa tushirikiane kwa kulingana na terms na conditions ambazo utaziweka na tukakubaliana.

Asanteni sana.
kuwa mwazi angalau..au shida yako eneo dalali
 
Habari zenu wakuu,

Nina mpango wa kufuga nguruwe lakini nina changamoto moja kubwa ninayoipata hivyo nahitaji mtu wa kuingia nae ubia tufanye pamoja.

Vigezo:
i. Huyo mtu awe na eneo la kufugia
ii. Hilo eneo liwe pembezoni mwa jiji la Dar au mkoa wa Pwani au Morogoro

Yawezekana tayari umeshaanza kufuga unahitaji mtu wa kuongeza nae nguvu

Yawezekana hujaanza ila upo mbioni kuanza ningependa tushirikiane kwa kulingana na terms na conditions ambazo utaziweka na tukakubaliana.

Asanteni sana.
Nipo Mbezi ya Goba. Nimependa ideal mkuu
 
Hello..... Karibuni Sana Katika group linalohusu ufugaji wa nguruwe

Karibu Sana wewe mtaalamu wa mifugo, mfugaji, mnunuzi, pamoja na Wale wenye kiu ya kujifunza zaidi kuhusu ufugaji huu wenye tija na kipato cha uhakika.....

Click link ifuatayo kujiunga......

Zingatia kujitambulisha pindi tu uingiapo katika group hili
ZINGATIA KUJITAMBULISHA PINDI TU UINGIAPO KATIKA GROUP HILI... JINA, MKOA, SHUGHULI

TSA- PIG FARMING
 
Back
Top Bottom