Chui mnyama
Member
- Apr 2, 2017
- 67
- 33
Habari za muda huu wanajamii Forums. Kwanza kabisa napenda kumshukuru mwenyezi Mungu mwingi wa rehema alineyetujalia uzima.
Sasa nijielekeze moja kwa moja kwenye mada yangu. Kutokana na mwaka wa Jana kuwa kulikuwa na hali Nzuri ya hewa nilifanikiwa kulima zao la kunde cha kumshukuru Mungu nikwamba kunde zimekubali kwelikweli na nina zaidi ya tani tano za kunde sasa changamoto no soko
Kama kuna mtu anajua soko la kunde naomba unijuze kwa komenti hapo chini ili niweze kujikwamua
Natanguliza shukrani.
Nawasilisha.
Sasa nijielekeze moja kwa moja kwenye mada yangu. Kutokana na mwaka wa Jana kuwa kulikuwa na hali Nzuri ya hewa nilifanikiwa kulima zao la kunde cha kumshukuru Mungu nikwamba kunde zimekubali kwelikweli na nina zaidi ya tani tano za kunde sasa changamoto no soko
Kama kuna mtu anajua soko la kunde naomba unijuze kwa komenti hapo chini ili niweze kujikwamua
Natanguliza shukrani.
Nawasilisha.