Natafuta Mtangazaji wa Michezo

Natafuta Mtangazaji wa Michezo

Kwakua ni online naweza work from home?

Hua naambiwa nina sauti ya kusikilizika.

Kama naweza work from home niombe kazi. Ila sema hela ya maji shilingi ngapi.
 
Kuna watu wanafanya bure tena kwenye MEDIA HOUSE kubwa na sio hivyo tu mpaka wanadeki na kufagia ofisi.
Kwenye Media kubwa Kuna viposho Posho anaokota na pia anakua na Ile kitu kuwa hapa uhakika siku moja, ila kama anapata nauli,akiwa mjanja ataokota huko huko kwenye press conference atakazokua anaitwa
 
Weka namba kwenye tangazo lako kuna matajir wa JF wanaogopa kuja DM na id zao maana watajulikana lakin wanaogopa mitego ya wavaa kaunda suti
 
Kwakua ni online naweza work from home?

Hua naambiwa nina sauti ya kusikilizika.

Kama naweza work from home niombe kazi. Ila sema hela ya maji shilingi ngapi.
Sasa watu utawahoji ukiwa getto kwako?
 
Back
Top Bottom