Root root AE
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 217
- 394
- Thread starter
- #21
Kuna watu wanafanya bure tena kwenye MEDIA HOUSE kubwa na sio hivyo tu mpaka wanadeki na kufagia ofisi.wataenda kugombana tu kama hana hela ,vifaa vyenyewe usikute ana laptop moja icore 7 na smartphone ya google pixel,anasema ana media