Mtangazaji wa EFM Twalib Muwa: Simba SC kuishinda Al Ahly labda ishinde Njaa tu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,647
109,036
1. Kama katumia miaka Sita (6) kuitafuta Degree yake (isiyoeleweka ) Open University of Tanzania (OUT) kutokana na uhaba wa Akili alionao Kichwani ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

2. Kama kila Redio anayokuweko yeye kutwa ni Kugombana tu na watangazaji wenzake ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

3. Kama kuwa kwake tu Mwenezi wa CCM huko kwao uswahilini Temeke anataka ukubwa alionao Mwenezi CCM Taifa ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

4. Kama tu Certificate yake Chuo Kimoja Ilala Shariff Shamba mwaka 2011 aliipata Kimagumashi (kwa Msaada na Kubebwabebwa) na Rafiki yake Mmoja aliyekuwa Mkufunzi hapo kutokana na Uhalisia wake wa Kuzaliwa na Uhaba wa Akili za Kitaaluma na Upumbavu mwingi unadhani leo hii ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

5. Kama alidiriki kula Pesa za Michango ya Harusi yake na kupotea kwa muda na kuitumia hiyo Hela kununulia Gari Mbovu (Vitz Nyeusi) ambayo ilimtesa mno hadi Kuiuza kwa Bei ya 'Skrepa' na kuanza kupanda DalaDala ambayo aliapa hatopanda tena unadhani leo hii ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

6. Kama akina Tido Mhando na Charles Hillary (kabla hajaondoka Azam Media kula Shavu la Rais Mwinyi Zanzibar) ambao walikuwa Mabosi zake wakubwa walimshindwa kutokana na tabia zake nyingi za Utovu wa Nidhamu na Kumuachisha Kazi hapo unadhani ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

7. Kama ana Madeni ya Kutukuka hasa ya kwa Mama Ntilie (kutokana na tabia yake ya Uroho na Kupenda Kula Kula hovyo kama Paka wa Baa) huku Kutwa akiwakimbia Wanaomdai unadhani leo hii ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Mwanahabari kutofuata Misingi, taratibu na Kanuni za Habari (Utangazaji) Ukiwemo.

Hivi Mtangazaji huyu hajui kuwa moja ya Ethics za Mwanahabari (Utangazaji) aufanyao Yeye hairuhusiwi ukiwa Hewani kuonyesha Mapenzi yako / Upendeleo wa Timu fulani?

Hivi kuna Wasikilizaji / Watu wa Michezo nchini hawajui / hatujui kuwa Mtangazaji Ibrahim Masoud Maestro ni Simba SC lia lia na ana Kadi ya Uanachama na pia alishawahi hata kuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba SC? Je, 'Maestro' akiwa Redioni huwa anaonyesha Mahaba yake / Upendeleo wake kwa Simba SC yake?

Kuna Mtu ambaye hajui kuwa Mpira wa Miguu una Matokeo matatu ya Kushinda, Kufungwa na Kutoka Sare?

Leo hii Mtangazaji wa Redio Kubwa ya EFM unaposema tena hewani kuwa Simba SC haiwezi Kumfunga Al Ahly SC Ijumaa wakati mara Mbili nzima huko nyuma ilishamfunga hapa hapa kwa Mkapa tukuelewaje?

Twalib Othman Muwa ndiyo maana kumbe pamoja na Kuhonga Watu wa Yanga SC na Kuzunguka sana kwa Waganga wa Kienyeji Bagamoyo ili uwe Msemaji wao (wa Yanga SC Kazi ambayo ulikuwa unaitaka kuliko Kitu chochote) bado Uongozi ukakutosa na kuwapa / kuwaamini akina Kamwe na Privaldinho na kuanza kuzunguka hovyo Matawini kuwapiga Majungu mpaka ulipoona Unapuuzwa nao na ukaamua kukubali Matokeo na kuwa Mpole.

Na GENTAMYCINE najua kuwa anayekuharibu Wewe hadi kuwa wa hovyo hivyo Kitasnia (Kiutangazaji) ni Mtangazaji unayempenda kuliko hata Mkeo Maulid Kitenge (mwana Yanga SC lia lia Mwenzako) na ndiyo maana Unamuiga Vitu vingi (Kila Kitu) ila Kuuiga tu Mafanikio yake Kimaisha na kale Kamchezo Kake kanakomshushia Hadhi / Heshima ndiyo umeshindwa.

Huo muda unaoutumia kila Siku Jioni (katika ile Segment) yako ya Habari za Michezo au katika Kipindi cha Michezo cha Jumapili Mchana (unachokuwepo) Kuisema vibaya na Kuichafua Simba SC ungekuwa unautumia Kuwaelezea Watanzania ni Fursa gani / zipi wanaweza Kuzipata kutokana na Ujio wa Shindano hili Jipya la African Football League ( AFL ) ningekuona wa maana ila naendelea kukuona Mnafiki, Mpumbavu na mwenye mwisho mbaya Kitasnia.

Genius wa Kizanaki (Mara) na Kiyao (Mtwara) GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" nimemaliza.
 
Yoote umesema ila hapo kwenye vits nyeusi na kutaka usemaji umepiga kwenye mshono mkuu. Mwamba alishaloga,honga,tia huruma ili awe semaji la yanga ila tabia zake zikamnyima nafasi. Watu walijua kama unaweza kula mchango hata huko yanga angewaletea tafrani
 
Kumbe kuna watu bado wanamuda wa kusikiliza Radio????????

Ndio maana UPUUZI Mwingi.
Kiutafiti ( Ingio Google ujiridhishe na hata BBC Swahili walilisema hili ) Redio ndiyo Chombo namba Moja duniani / ulimwenguni kwa Upashaji na Utoaji wa Taarifa sahihi kwa Watu ( Wasikilizaji ) kuliko channels zingine za Kimawasiliano na 96% ya Watu duniani / ulimwenguni wanaamini Taarifa za Habari za Redio.

Tatizo lako Kubwa ni Kuingiliwa Kwako ambako kumekufanya uwe Mpumbavu hivi ulivyo na Kuwekeza muda wako mwingi kuja Kujibizana nami katika kila Thteads zangu ili nikijibizana nawe nikupe Umaarufu wa Kuipromoti hii ID yako kwani Kuipromoti Mwenyewe ili iwe maarufu kama ya GENTAMYCINE umeshindwa hivyo unataka nikupaishe.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
 
Yoote umesema ila hapo kwenye vits nyeusi na kutaka usemaji umepiga kwenye mshono mkuu. Mwamba alishaloga,honga,tia huruma ili awe semaji la yanga ila tabia zake zikamnyima nafasi. Watu walijua kama unaweza kula mchango hata huko yanga angewaletea tafrani
Huyo Dogo namjua mwanzo mwisho Mkuu na hapo kuna mengine nimeyasitiri tu. Happ EFM aliko sasa nina Wanangu Watatu na wananipa si tu Taarifa zake za Kimatukio bali hata na za Ushahidi wa Screenshots na Picha / Video.

Hana Akili na ni Mswahili Mswahili mno.
 
1. Kama katumia miaka Sita ( 6 ) kuitafuta Degree yake ( isiyoeleweka ) Open University of Tanzania ( OUT ) kutokana na uhaba wa Akili alionao Kichwani ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

2. Kama kila Redio anayokuweko Yeye Kutwa ni Kugombana tu na Watangazaji Wenzake ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

3. Kama kuwa Kwake tu Mwenezi wa CCM huko Kwao Uswahilini Temeke anataka Ukubwa alionao Mwenezi CCM Taifa ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

4. Kama tu Certificate yake Chuo Kimoja Ilala Shariff Shamba mwaka 2011 aliipata Kimagumashi ( kwa Msaada na Kubebwabebwa ) na Rafiki yake Mmoja aliyekuwa Mkufunzi hapo kutokana na Uhalisia wake wa Kuzaliwa na Uhaba wa Akili za Kitaaluma na Upumbavu mwingi unadhani leo hii ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

5. Kama alidiriki kula Pesa za Michango ya Harusi yake na kupotea kwa muda na kuitumia hiyo Hela kununulia Gari Mbovu ( Vitz Nyeusi ) ambayo ilimtesa mno hadi Kuiuza kwa Bei ya 'Skrepa' na kuanza kupanda DalaDala ambayo aliapa hatopanda tena unadhani leo hii ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

6. Kama akina Tido Mhando na Charles Hillary ( kabla hajaondoka Azam Media kula Shavu la Rais Mwinyi Zanzibar ) ambao walikuwa Mabosi zake Wakubwa walimshindwa kutokana na tabia zake nyingi za Utovu wa Nidhamu na Kumuachisha Kazi hapo unadhani ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

7. Kama ana Madeni ya Kutukuka hasa ya kwa Mama Ntilie ( kutokana na tabia yake ya Uroho na Kupenda Kula Kula hovyo kama Paka wa Baa ) huku Kutwa akiwakimbia Wanaomdai unadhani leo hii ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Mwanahabari kutofuata Misingi, Taratibu na Kanuni za Habari ( Utangazaji ) Ukiwemo.

Hivi Mtangazaji huyu Juha ( Fool ) hajui kuwa moja ya Ethics za Mwanahabari ( Utangazaji ) aufanyao Yeye hairuhusiwi ukiwa Hewani kuonyesha Mapenzi yako / Upendeleo wa Timu fulani?

Hivi kuna Wasikilizaji / Watu wa Michezo nchini hawajui / hatujui kuwa Mtangazaji Ibrahim Masoud Maestro ni Simba SC lia lia na ana Kadi ya Uanachama na pia alishawahi hata kuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba SC? Je, 'Maestro' akiwa Redioni huwa anaonyesha Mahaba yake / Upendeleo wake kwa Simba SC yake?

Kuna Mtu ambaye hajui kuwa Mpira wa Miguu una Matokeo matatu ya Kushinda, Kufungwa na Kutoka Sare?

Leo hii Mtangazaji wa Redio Kubwa ya EFM unaposema tena Hewani kuwa Simba SC haiwezi Kumfunga Al Ahly SC Ijumaa wakati mara Mbili nzima huko nyuma ilishamfunga hapa hapa kwa Mkapa tukuelewaje?

Twalib Othman Muwa ndiyo maana kumbe pamoja na Kuhonga Watu wa Yanga SC na Kuzunguka sana kwa Waganga wa Kienyeji Bagamoyo ili uwe Msemaji wao ( wa Yanga SC Kazi ambayo ulikuwa unaitaka kuliko Kitu chochote ) bado Uongozi ukakutosa na kuwapa / kuwaamini akina Kamwe na Privaldinho na kuanza kuzunguka hovyo Matawini kuwapiga Majungu mpaka ulipoona Unapuuzwa nao na ukaamua kukubali Matokeo na kuwa Mpole.

Na GENTAMYCINE najua kuwa anayekuharibu Wewe hadi kuwa wa hovyo hivyo Kitasnia ( Kiutangazaji ) ni Mtangazaji unayempenda kuliko hata Mkeo Maulid Kitenge ( mwana Yanga SC lia lia Mwenzako ) na ndiyo maana Unamuiga Vitu vingi ( Kila Kitu ) ila Kuuiga tu Mafanikio yake Kimaisha na kale Kamchezo Kake kanakomshushia Hadhi / Heshima ndiyo umeshindwa.

Huo muda unaoutumia kila Siku Jioni ( katika ile Segment ) yako ya Habari za Michezo au katika Kipindi cha Michezo cha Jumapili Mchana ( unachokuwepo ) Kuisema vibaya na Kuichafua Simba SC ungekuwa unautumia Kuwaelezea Watanzania ni Fursa gani / zipi wanaweza Kuzipata kutokana na Ujio wa Shindano hili Jipya la African Football League ( AFL ) ningekuona wa maana ila naendelea kukuona Mnafiki, Mpumbavu na mwenye mwisho mbaya Kitasnia.

Genius wa Kizanaki ( Mara ) na Kiyao ( Mtwara ) GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" nimemaliza.
Naunga mkono hoja Ethics za uwanahabari haziruhusu kua BIAS.....

mwisho mbaya Kitasnia.

Genius wa Kizanaki ( Mara ) na Kiyao ( Mtwara ) GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" nimemaliza
 
Kiutafiti ( Ingio Google ujiridhishe na hata BBC Swahili walilisema hili ) Redio ndiyo Chombo namba Moja duniani / ulimwenguni kwa Upashaji na Utoaji wa Taarifa sahihi kwa Watu ( Wasikilizaji ) kuliko channels zingine za Kimawasiliano na 96% ya Watu duniani / ulimwenguni wanaamini Taarifa za Habari za Redio.

Tatizo lako Kubwa ni Kuingiliwa Kwako ambako kumekufanya uwe Mpumbavu hivi ulivyo na Kuwekeza muda wako mwingi kuja Kujibizana nami katika kila Thteads zangu ili nikijibizana nawe nikupe Umaarufu wa Kuipromoti hii ID yako kwani Kuipromoti Mwenyewe ili iwe maarufu kama ya GENTAMYCINE umeshindwa hivyo unataka nikupaishe.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Duh !!!
 
1. Kama katumia miaka Sita ( 6 ) kuitafuta Degree yake ( isiyoeleweka ) Open University of Tanzania ( OUT ) kutokana na uhaba wa Akili alionao Kichwani ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

2. Kama kila Redio anayokuweko Yeye Kutwa ni Kugombana tu na Watangazaji Wenzake ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

3. Kama kuwa Kwake tu Mwenezi wa CCM huko Kwao Uswahilini Temeke anataka Ukubwa alionao Mwenezi CCM Taifa ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

4. Kama tu Certificate yake Chuo Kimoja Ilala Shariff Shamba mwaka 2011 aliipata Kimagumashi ( kwa Msaada na Kubebwabebwa ) na Rafiki yake Mmoja aliyekuwa Mkufunzi hapo kutokana na Uhalisia wake wa Kuzaliwa na Uhaba wa Akili za Kitaaluma na Upumbavu mwingi unadhani leo hii ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

5. Kama alidiriki kula Pesa za Michango ya Harusi yake na kupotea kwa muda na kuitumia hiyo Hela kununulia Gari Mbovu ( Vitz Nyeusi ) ambayo ilimtesa mno hadi Kuiuza kwa Bei ya 'Skrepa' na kuanza kupanda DalaDala ambayo aliapa hatopanda tena unadhani leo hii ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

6. Kama akina Tido Mhando na Charles Hillary ( kabla hajaondoka Azam Media kula Shavu la Rais Mwinyi Zanzibar ) ambao walikuwa Mabosi zake Wakubwa walimshindwa kutokana na tabia zake nyingi za Utovu wa Nidhamu na Kumuachisha Kazi hapo unadhani ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

7. Kama ana Madeni ya Kutukuka hasa ya kwa Mama Ntilie ( kutokana na tabia yake ya Uroho na Kupenda Kula Kula hovyo kama Paka wa Baa ) huku Kutwa akiwakimbia Wanaomdai unadhani leo hii ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Mwanahabari kutofuata Misingi, Taratibu na Kanuni za Habari ( Utangazaji ) Ukiwemo.

Hivi Mtangazaji huyu Juha ( Fool ) hajui kuwa moja ya Ethics za Mwanahabari ( Utangazaji ) aufanyao Yeye hairuhusiwi ukiwa Hewani kuonyesha Mapenzi yako / Upendeleo wa Timu fulani?

Hivi kuna Wasikilizaji / Watu wa Michezo nchini hawajui / hatujui kuwa Mtangazaji Ibrahim Masoud Maestro ni Simba SC lia lia na ana Kadi ya Uanachama na pia alishawahi hata kuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba SC? Je, 'Maestro' akiwa Redioni huwa anaonyesha Mahaba yake / Upendeleo wake kwa Simba SC yake?

Kuna Mtu ambaye hajui kuwa Mpira wa Miguu una Matokeo matatu ya Kushinda, Kufungwa na Kutoka Sare?

Leo hii Mtangazaji wa Redio Kubwa ya EFM unaposema tena Hewani kuwa Simba SC haiwezi Kumfunga Al Ahly SC Ijumaa wakati mara Mbili nzima huko nyuma ilishamfunga hapa hapa kwa Mkapa tukuelewaje?

Twalib Othman Muwa ndiyo maana kumbe pamoja na Kuhonga Watu wa Yanga SC na Kuzunguka sana kwa Waganga wa Kienyeji Bagamoyo ili uwe Msemaji wao ( wa Yanga SC Kazi ambayo ulikuwa unaitaka kuliko Kitu chochote ) bado Uongozi ukakutosa na kuwapa / kuwaamini akina Kamwe na Privaldinho na kuanza kuzunguka hovyo Matawini kuwapiga Majungu mpaka ulipoona Unapuuzwa nao na ukaamua kukubali Matokeo na kuwa Mpole.

Na GENTAMYCINE najua kuwa anayekuharibu Wewe hadi kuwa wa hovyo hivyo Kitasnia ( Kiutangazaji ) ni Mtangazaji unayempenda kuliko hata Mkeo Maulid Kitenge ( mwana Yanga SC lia lia Mwenzako ) na ndiyo maana Unamuiga Vitu vingi ( Kila Kitu ) ila Kuuiga tu Mafanikio yake Kimaisha na kale Kamchezo Kake kanakomshushia Hadhi / Heshima ndiyo umeshindwa.

Huo muda unaoutumia kila Siku Jioni ( katika ile Segment ) yako ya Habari za Michezo au katika Kipindi cha Michezo cha Jumapili Mchana ( unachokuwepo ) Kuisema vibaya na Kuichafua Simba SC ungekuwa unautumia Kuwaelezea Watanzania ni Fursa gani / zipi wanaweza Kuzipata kutokana na Ujio wa Shindano hili Jipya la African Football League ( AFL ) ningekuona wa maana ila naendelea kukuona Mnafiki, Mpumbavu na mwenye mwisho mbaya Kitasnia.

Genius wa Kizanaki ( Mara ) na Kiyao ( Mtwara ) GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" nimemaliza.
Huyu mbwiga kama alikula michango ya arusi yake mwenyewe atashindwa vipi kuyasalimisha marinda yake ili apate maokoto? Huyo hafai kabisa.
 
Huyu mbwiga kama alikula michango ya arusi yake mwenyewe atashindwa vipi kuyasalimisha marinda yake ili apate maokoto? Huyo hafai kabisa.
Na tayari ameshatumiwa huu Uzi wangu katika Kundi lao la WhatsApp na nasikia kawa Mpole na GENTAMYCINE namuonya awe Mpole hivyo hivyo kwani niliyoyaelezea hapa ya Kumhusu hata 50% bado hayajafika na mengine nimeyahifadhi.
 
Back
Top Bottom