Mzee Dogo
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 400
- 140
aliye tayari tuwasilkiane kwa e- mail adriano.cole55@yahoo.com
unataka mwarabu Rangi au mwarabu mwenye kusema kiarabu? kama rangi ZNZ na Tanga na Mwanza la mwarabu asili asojua kata kiswahili mfate arabuni lakini utauza mpaka nywele pesa yamahari haitimi,la mwarabu anaesema kidigo mambo tanga. kama uko tayari panda Raha leo ukifika tanga utachagua.kama watakupenda narudia tena kama utakubalika mke umepata.
wa kisemvule!!!wewe mwarabu wa wapi????????
aliye tayari tuwasilkiane kwa e- mail adriano.cole55@yahoo.com
Kama mie? Mwalabu wa kaliakoo!
Kwaani Tanga au ZNZ ndio Saudia ? Aende Iran au Babeli, apande gulf air.unataka mwarabu Rangi au mwarabu mwenye kusema kiarabu? kama rangi ZNZ na Tanga na Mwanza la mwarabu asili asojua kata kiswahili mfate arabuni lakini utauza mpaka nywele pesa yamahari haitimi,la mwarabu anaesema kidigo mambo tanga. kama uko tayari panda Raha leo ukifika tanga utachagua.kama watakupenda narudia tena kama utakubalika mke umepata.
te h teh,mwarabu wa manyoni?njoo kwangu bana mi natafuta mwarabu wa singidaniI'm here darling. Mi mwarabu pure,
hahahaha! Mi mwarabu wa mpwapwa bab.te h teh,mwarabu wa manyoni?njoo kwangu bana mi natafuta mwarabu wa singidani
teh teh afwazali,nicheki bana achana na huyu mtumwa wa hiyarihahahaha! Mi mwarabu wa mpwapwa bab.
mimi ogopa vibabu vijana. Vibabu vijana sahv vipo kwenye 'usharobaro stone age'teh teh afwazali,nicheki bana achana na huyu mtumwa wa hiyari