mimi ni mwanaume ninaishi dar nimeamaliza chuo kikuu kwa sasa ninahitaji mpenzi,rafiki wa karibu vyovyote vile but i need serious relationship kwa umbile ni mrefu, mweusi,kwa yeyote atakayekuwa tayri naomba ani PM kwa ajili ya kufahamiana vizuri nipo very serious
najua hili sio jukwaa la kutafuta wapenzi but sometimes it do happen kama huna cha kucomment plz naomba ukae kimya kuliko kupost matusi au maneno ya kejeli
najua hili sio jukwaa la kutafuta wapenzi but sometimes it do happen kama huna cha kucomment plz naomba ukae kimya kuliko kupost matusi au maneno ya kejeli