Natafuta mpenzi mwanamke

Natafuta mpenzi mwanamke

Sifa zake
● Awe mrefu kiasi
● Umri kuanzia miaka 28 hadi 31
● Awe muajiriwa au amejiajiri
●Dini yeyote.
● Kabila lolote
● Awe na mtoto mmoja

Sifa za mtafutaji
●Mrefu mweusi kiasi
●Mpole kiasi
● nimejiajiri
●umri miaka 29
mawasiliano pm ipo wazi
Akipatikana maeneo haya ni sawa Geita, Mwanza na Dar es salaam
😅😅😅😅
 
Mkuu all the best uta pata anae kufaa japo Kuna vichwa ugoro wanakuletea mizaha kwnye minuno ya ki father,na ukipata kalete kwa Babu 👴🏾 👴🏾 yako tukatambike katulize mshono kasije kukupa kaugonjwa Cha mawazo🤪🤪🤪
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom