Ndiyo natafuta husband material 😎Nawe watafuta
Tafuta mwanamke mrembo oa. Mambo ya mwanamke kuwa na ajira hiyo haitakusaidia kitu tata. Ukiendekeza hizo sifa zako utafikisha miaka 100 hujaoa. Matoto ya getini sijui yakojeMtu anaejielewa hawezi kuandika utopolo kama wako matoto ya mitaani sijui yakoje
Sikuhizi vitu vizuri vinatengezwa havitafutwi dada. Ushauri wangu chukua non husband material na umfanye kuwa husband material. Siyo simple ila ukiwa na nia utafurahi. Ni hivyo tu.Ndiyo natafuta husband material 😎
Hebu pitia CV yanguNdiyo natafuta husband material 😎
Usijali tupo wengineAnapenda vitu vyeusi huyu
Haijakidhi vigezoHebu pitia CV yangu
Asante mkuu, nitafanya hivyoSikuhizi vitu vizuri vinatengezwa havitafutwi dada. Ushauri wangu chukua non husband material na umfanye kuwa husband material. Siyo simple ila ukiwa na nia utafurahi. Ni hivyo tu.
Wanapatikana wapi hao none husband materialSikuhizi vitu vizuri vinatengezwa havitafutwi dada. Ushauri wangu chukua non husband material na umfanye kuwa husband material. Siyo simple ila ukiwa na nia utafurahi. Ni hivyo tu.
Nipo Kirumba, Mwanza kanisa la kinabii kuna piece balaa. Why utafute 28+ wakati kuna 22-24 mpya kabisaa.Sifa zake
● Awe mrefu kiasi
● Umri kuanzia miaka 28 hadi 31
● Awe muajiriwa au amejiajiri
●Dini yeyote.
● Kabila lolote
● Awe na mtoto mmoja
Sifa za mtafutaji
●Mrefu mweusi kiasi
●Mpole kiasi
● nimejiajiri
●umri miaka 29
mawasiliano pm ipo wazi
Akipatikana maeneo haya ni sawa Geita, Mwanza na Dar es salaam
Njoo inbox utanifaa mimiMimi mjane nina 28 sikufai?
Manabii Huwa wanapita nao SanaNipo Kirumba, Mwanza kanisa la kinabii kuna piece balaa. Why utafute 28+ wakati kuna 22-24 mpya kabisaa.
We dada mbona kama twafanana matukiooooo😂😂😂😂🙌🏾Kila la kheri, mlete mrejesho mtutie moyo na wengine
Wewe tuma CV usiulize bado anachagua aliye boraSifa zote nnazo,,umri tu ndo umebuma aaaah,,nisubiri bas pliz😕au ushapata
Nijichanganye nije kupondwa humuWewe tuma CV usiulize bado anachagua aliye bora
Acha tu yaani, Mungu atusaidie😂😂We dada mbona kama twafanana matukiooooo😂😂😂😂🙌🏾
Mtoa mada hana shida na umri alishasema jana, na sidhani kama anaweza kuwa na utoto huoNijichanganye nije kupondwa humu