Danp36
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,097
- 920
Habari,
Mimi ni mkazi wa Dar es salaam
Umri - 33.6
Kazi - Ajira/biashara
Dini - Mkristo
Elimu - Masters
Rangi - mweusi na mrefu kiasi
Mtoto - Sina mtoto
Natafuta binti
Umri - 24 hadi 29
Kazi - Sio lazima
Elimu - Form 4 na kuendelea
Dini - Ikipendeza mkristo dhehebu lolote ila mcha Mungu sana
Rangi - Mweupe
Mwili - Asiwe mnene, awe kiasi na shepu
Mkoa - Popote Tanzania
Asiwe na mtoto wala mahusiano mengine
Nipo serious, nimepepesa sana macho na kuzunguka najaribu na huku😹
Karibu PM.
Mimi ni mkazi wa Dar es salaam
Umri - 33.6
Kazi - Ajira/biashara
Dini - Mkristo
Elimu - Masters
Rangi - mweusi na mrefu kiasi
Mtoto - Sina mtoto
Natafuta binti
Umri - 24 hadi 29
Kazi - Sio lazima
Elimu - Form 4 na kuendelea
Dini - Ikipendeza mkristo dhehebu lolote ila mcha Mungu sana
Rangi - Mweupe
Mwili - Asiwe mnene, awe kiasi na shepu
Mkoa - Popote Tanzania
Asiwe na mtoto wala mahusiano mengine
Nipo serious, nimepepesa sana macho na kuzunguka najaribu na huku😹
Karibu PM.