real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,302
mbona unamletea ukorofi ustaadhi wa watu?Sababu zipi? Mi nataka unioe ila nna mtoto
mbona unamletea ukorofi ustaadhi wa watu?Sababu zipi? Mi nataka unioe ila nna mtoto
Dogo kumbe unasumbuliwa na mihemko ya kingono??Nikifika 35 inshaAllah nataka niwe nishakamilisha wa4
Sijakielewa kabisa ulichokiandika mkuu naona umepaniki tuDogo kumbe unasumbuliwa na mihemko ya kingono??
Kwa taarifa yako huyo mtume aliyeshushiwa hicho kitabu ilikuwa ni mbinu ya kibiashara tu ili atackle market ya wazungu(washenzi) waliomtangulia!
Ishi kulingana na nafsi yako si kimatamanio!!
Upuuzi upuuzi tu unakusumbua na hicho kibolo dinda chako kitakuua kwa maradhi!
Dogo endelea na maamzi yako ila ipo siku utarudi hapa na matokeo ya upuuzi ufanyao leo hii!Pole sana kwa upotevu ulionao juu ya maisha...mawazo yako hayaendani na umri ulionao
Ha ha wewe itabidi nikualike nyumbani kwangu nikishawakamilisha wote wa4 uje uone ninavyoenjoyDogo endelea na maamzi yako ila ipo siku utarudi hapa na matokeo ya upuuzi ufanyao leo hii!
Kibamia vepeeeMimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 ni muislamu na mfanyakazi katika sekta binafsi ,nina elimu ya chuo kikuu levo ya shahada,ni mrefu na maji ya kunde
Nipanic kwani mi ndo nilianika mimihemko ya kipuuzi kisa mkeo kaingia hedhi na dini yako inakubana kufanya nae tendo ndani ya siku zake ndo maana unahangaika kutafuta mke wa pili? what if siku zake zikawa sawa na mkeo ulienae?Sijakielewa kabisa ulichokiandika mkuu naona umepaniki tu
Dogo kumbe unasumbuliwa na mihemko ya kingono??
Kwa taarifa yako huyo mtume aliyeshushiwa hicho kitabu ilikuwa ni mbinu ya kibiashara tu ili atackle market ya wazungu(washenzi) waliomtangulia!
Ishi kulingana na nafsi yako si kimatamanio!!
Upuuzi upuuzi tu unakusumbua na hicho kibolo dinda chako kitakuua kwa maradhi!

Dogo hapo hakuna cha enjoyment zaidi ya kuwaumiza wanao watakaozaliwa!Ha ha wewe itabidi nikualike nyumbani kwangu nikishawakamilisha wote wa4 uje uone ninavyoenjoy
Sensible lady!Mpendwa,hebu tumegee sheria ya kutafuta mke katika uislamu ili nami nipate faida?
BTW,Allah ndiye mjuzi wa yaliyo katika vifua vya waja wake,usimhukumu mwenzako kwa kumuita 'huni'au 'dude' kwa kuwa ametafuta mke jf,huenda hapa jf ndo alokadiriwa kumpata bi mdogo. Hii ni sehemu kama zilivyo sehemu nyingine ambapo watu hukutana. Wapo wazuri na wabaya.
wewe sema unatafuta mchepuko na wala sio mke, mara hii ushavunja masharti yako.Twende PM
Kazi unayo kaka na hasa huyo mkeo wa kwanza kama uwezo wenyewe wa kufikiri ndio huu?maana wenzio wanaokwambia changamoto unafikiri za kuwalisha tu?hawa watoto watakaokuja ushawaza watasomaje?au ndio watasomeshwa na wajomba zao ukimchoka mama yao,?Changamoto unazoziona wewe leo co ngeni hata ,zama hizo zilikuwepo na tayari kitabu kilishazungumzia,na kwa kukuweka clear kitabu "hakijaagiza" but Allah ndo alitoa ruhisa nami nimeamua kuitumia ruhusa hiyo kuepukana na uzinzi
Walioko misikitini ndio hawa hawa walioko mitandaoni watu ni hawa hawa mkuuNenda la imam kwa msikiti inaoswali,atakusaidia hili vizuri sana,kuhangaika huku kwenye mitandao sioni kama ni sahihi kwa mwislam safi
We oa bana kelele za nini?upande upi au upi unahusiananini na mke wa pili?haya kaoe ,Bila shaka wewe ni miongoni wa wale wa upande ule ambao hufunga pingu na mke m1 na kuwa na vimada 6 bila kujali kuvunja amri ya 6.
Dini na kitabu changu kimetoa ruksa hiyo kwa kuzingatia manufaa yake ambayo ni mengi sana kuliko madhara
Idadi ya wanawake duniani ni zaidi ya nusu ya idadi ya wanaume duniani so iwapo kila m1 ataoa wanawake wa4 hutaskia malaya unaoenda kuwanunua buguruni wakiendelea na biashara ile
Dini yetu inazingatia sana sheria,mtu aliyeoa kisha akazini adhabu yake huwa ni kupigwa mawe hadi kufa na hapo unaweza kuona ni namna gani suala la uzinzi linavyochukuliwa kiuzito tofauti na upande wenu.
Kwa maana hiyo ndo mana unaona tunasisitizana kuwaoa wanawake na kuishi nao kihalali na kutowatenga wajane na walioachika ili kuwaepusha na uzinifu.
Kuhusu suala la mirathi naweza kukuambia katika dunia hii hakuna sheria ya mirathi iliyo nzuri kama iliyoandikwa katika Quran ndo mana hata sheria ya mirathi ya tz na nchi nyinginezo imekopi vipengele vingi kutoka huko
Karibu sana upande wetu uinjoy hii fursa utoke huko jela ulikofungwa pingu unaibiaibia tu kutongoza watoto wa shule,
ndiyo mkuuHicho ndo kikomo cha upeo wako wavkufikiri kutokana na matatizo uliyonayo
Kazi unayo kaka na hasa huyo mkeo wa kwanza kama uwezo wenyewe wa kufikiri ndio huu?maana wenzio wanaokwambia changamoto unafikiri za kuwalisha tu?hawa watoto watakaokuja ushawaza watasomaje?au ndio watasomeshwa na wajomba zao ukimchoka mama yao,?