Natafuta mke wa pili

Natafuta mke wa pili

Mcha mungu gani anatafuta mke jf forum then anataka kuoa kwa siri?. Nyege tu hizo mzee . You are trying to fool ppl. I hope in jf there are no stupid ladies who can easily be fooled. Unajua sheria ya kutafuta mke ktk uislam? Acha hizo bana
 
Mcha mungu gani anatafuta mke jf forum then anataka kuoa kwa siri?. Nyege tu hizo mzee . You are trying to fool ppl. I hope in jf there are no stupid ladies who can easily be fooled. Unajua sheria ya kutafuta mke ktk uislam? Acha hizo bana
Kwa hiyo una maana jf ni genge la wahuni kwa sababu wewe ni muhuni? Kwa taarifa yako humu kuna watu wenye akili zao na dini zao wanaoweza kukutana na kuunga udugu,if u think that is not possible ask yourself unafanya nn humu?
 
Soma sentence vizuri. Kuoa kwa siri? Unajua maana ya ndoa na condition zake?
 
Soma sentence vizuri. Kuoa kwa siri? Unajua maana ya ndoa na condition zake?
Kiislamu ili ndoa ipite inapaswa kuwepo na muoaji,muolewaji na mawalii zake na mfungishaji ndoa (sheikh) na mashaidi wawili watatu,ninaposema ya siri namaanisha baada ya hapo sitataka sherehe ya ukumbini au nawe unataka mualiko wa pilau?
 
Unaweza ukaelezea sababu kuu iliyokusukuma kuongeza mke wa pili (ukiachana na imani ya dini)? na huoni kuwa unawatengenezea mazingira magumu wanao hapo baadae baada ya wewe kutoweka duniani?
 
Lool. Mie nilidhani hutaki watu wajue. Maana siri ni kuficha kitu.ila ungesema sitaki sherehe ningeelewa
 
Unaweza ukaelezea sababu kuu iliyokusukuma kuongeza mke wa pili (ukiachana na imani ya dini)? na huoni kuwa unawatengenezea mazingira magumu wanao hapo baadae baada ya wewe kutoweka duniani?
Siwezi kuachana na imani ya dini coz dini ndo mfumo wangu wa maisha..yaani kila kitu nikifanyacho reference yangu huwa ni katika Quran & sunna. ..na ninaamini Allah ndo mpangaji wa kila kitu na yeye ndo aliyeruhusu kuoa mpaka wanawake wa4 kwa hikma zake,hivyo siwezi kuwa na wasi wasi coz ninaamini yy ndo atakayewalinda
 
Basi hapo tumeelewana mkuu. Ila kupata mke wa pili kazi kweli kwelo maana dream ya kila mwanamke ni kuwa wa kwanza. Ila unaweza pata. Kuna jirani zangu wameshika dini haswa na hawajaolewa ila sidhani kama wanaweza kukubali kuwa wa pili. I ll check up with them
 
Siwezi kuachana na imani ya dini coz dini ndo mfumo wangu wa maisha..yaani kila kitu nikifanyacho reference yangu huwa ni katika Quran & sunna. ..na ninaamini Allah ndo mpangaji wa kila kitu na yeye ndo aliyeruhusu kuoa mpaka wanawake wa4 kwa hikma zake,hivyo siwezi kuwa na wasi wasi coz ninaamini yy ndo atakayewalinda
Kwa hiyo mkuu unaongeza mke kisa "kitabu" kimeagiza pasipo kuangalia changamoto za dunia ya leo?!
Aisee nikutakie kila la kheri katika uamzi uliochukua...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom