Natafuta mke wa pili

Natafuta mke wa pili

Kwa hiyo mkuu unaongeza mke kisa "kitabu" kimeagiza pasipo kuangalia changamoto za dunia ya leo?!
Aisee nikutakie kila la kheri katika uamzi uliochukua...
Changamoto unazoziona wewe leo co ngeni hata ,zama hizo zilikuwepo na tayari kitabu kilishazungumzia,na kwa kukuweka clear kitabu "hakijaagiza" but Allah ndo alitoa ruhisa nami nimeamua kuitumia ruhusa hiyo kuepukana na uzinzi
 
Changamoto unazoziona wewe leo co ngeni hata ,zama hizo zilikuwepo na tayari kitabu kilishazungumzia,na kwa kukuweka clear kitabu "hakijaagiza" but Allah ndo alitoa ruhisa nami nimeamua kuitumia ruhusa hiyo kuepukana na uzinzi
Kila la kheri Ndugu,Vipi wife umeshazungumza nae Kuhusu Mathna...sina shaka umeshajipanga kuhusu kutimiza mahitaji yao bila kubagua.Nakutakia kila la kheri ila tafuta mwenye dini upate utulivu.
 
Kuna watu masharti yenu huwa nadhan mmetumwa na waganga.
 
kila heri mkuu ila mke wa piri inatakiwa vema umtafute taratibu sana na umakini na awe na hekima kuanzia yeye mwenyewe mpk wazazi wake si vema kumtafuta katika mitandao ni wachache sana ktk mitandao wanajielewa wengi ni hovyo sana
jaribu kutulia huko mitaani na upate binti mdogo asizidi miaka 22 huyo no rahisi sana kufulahia ndoa naye
nakutakia kila la heri ktk jambo lako na mwenyezi mungu akuongoze
 
Kwa hiyo mkuu unaongeza mke kisa "kitabu" kimeagiza pasipo kuangalia changamoto za dunia ya leo?!
Aisee nikutakie kila la kheri katika uamzi uliochukua...




Mkuu mimi mwenyewe kila nikimtafakar nakosa majibu dah..mimi nipe maisha marefu nione maajabu yanayozid kuongezeka kwenye yale saba...
 
kila heri mkuu ila mke wa piri inatakiwa vema umtafute taratibu sana na umakini na awe na hekima kuanzia yeye mwenyewe mpk wazazi wake si vema kumtafuta katika mitandao ni wachache sana ktk mitandao wanajielewa wengi ni hovyo sana
jaribu kutulia huko mitaani na upate binti mdogo asizidi miaka 22 huyo no rahisi sana kufulahia ndoa naye
nakutakia kila la heri ktk jambo lako na mwenyezi mungu akuongoze
Mkuu Mzimu wa kolelo unataka kuniambia miaka 22 yupo tayari kuwa matarah? Aende kwenye zile madrasa ambazo wanakaa wakina dada kujifunza dini na kutafuta wanaume wa kuwastiri...shekhe ajitahid sana kufanya haraka
 
Mcha mungu gani anatafuta mke jf forum then anataka kuoa kwa siri?. Nyege tu hizo mzee . You are trying to fool ppl. I hope in jf there are no stupid ladies who can easily be fooled. Unajua sheria ya kutafuta mke ktk uislam? Acha hizo bana

Mpendwa,hebu tumegee sheria ya kutafuta mke katika uislamu ili nami nipate faida?


BTW,Allah ndiye mjuzi wa yaliyo katika vifua vya waja wake,usimhukumu mwenzako kwa kumuita 'huni'au 'dude' kwa kuwa ametafuta mke jf,huenda hapa jf ndo alokadiriwa kumpata bi mdogo. Hii ni sehemu kama zilivyo sehemu nyingine ambapo watu hukutana. Wapo wazuri na wabaya.
 
sina uhakika kama ndio utaratibu wa dni yako kutafuta mke wa pili humu.....
 
Mkuu mimi mwenyewe kila nikimtafakar nakosa majibu dah..mimi nipe maisha marefu nione maajabu yanayozid kuongezeka kwenye yale saba...
Unajua mkuu kuna madhra mengi sana yametokea na yanaendelea kutokea katika familia nyingi chimbuko lake kuu ni "MAAGIZO YA DINI"
Mleta uzi anaamua kujitwishwa mzigo wa wake wawili na watoto juu kisa kashindwa kumvumilia mkewe kwa siku3 tu aendazo hedhi!
Anachukua jiko jingine... Sasa sijui itakuwaje kama siku za hawa wakezake zikiwa coincidence!!! Atatafuta mke wa 3&4??

Kumbe ndiyo maana hawa majamaa wanalilia mahakama ya kadhi ili waendelee kuwanyanyasa dada na wapwa zetu kwenye kesi za mirathi!!

Mdogo wangu mleta mada tafakari kwa makini juu ya imani yako ya kimapokeo then jiongeze mwenyewe... Vinginevyo ipo siku kitabu chako cha dini kitaagiza ujitoe mhanga umlipue MAMA yako...
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 natafuta mwanamke aliye tayari kuolewa kama mke wa pili mwenye sifa zifuatazo:

1.Awe muislamu anayeheshimu na kuzingatia taratibu za dini

2.Awe na umri usiozidi miaka 30

3.Awe hajawahi kuzaa (Aliyeolewa akaachika bila kuzaa au mjane asiye na mtoto wanaruhusiwa)

4.Awe na elimu angalau ya kidato cha 4

5.Awe mweupe kiasi na asiwe bonge nyanya

6. Awe tayari kufunga ndoa kimya kimya

Aliye tayari aniPM.

Mwenzako Ndiyo Namalizia Kumwacha Mwanamke Wangu Huyu Wa Saba. Kama Vipi Nikukabidhi Tu Hawa Sita Waliobaki Mkuu au?
 
Unajua mkuu kuna madhra mengi sana yametokea na yanaendelea kutokea katika familia nyingi chimbuko lake kuu ni "MAAGIZO YA DINI"
Mleta uzi anaamua kujitwishwa mzigo wa wake wawili na watoto juu kisa kashindwa kumvumilia mkewe kwa siku3 tu aendazo hedhi!
Anachukua jiko jingine... Sasa sijui itakuwaje kama siku za hawa wakezake zikiwa coincidence!!! Atatafuta mke wa 3&4??

Kumbe ndiyo maana hawa majamaa wanalilia mahakama ya kadhi ili waendelee kuwanyanyasa dada na wapwa zetu kwenye kesi za mirathi!!

Mdogo wangu mleta mada tafakari kwa makini juu ya imani yako ya kimapokeo then jiongeze mwenyewe... Vinginevyo ipo siku kitabu chako cha dini kitaagiza ujitoe mhanga umlipue MAMA yako...
Bila shaka wewe ni miongoni wa wale wa upande ule ambao hufunga pingu na mke m1 na kuwa na vimada 6 bila kujali kuvunja amri ya 6.
Dini na kitabu changu kimetoa ruksa hiyo kwa kuzingatia manufaa yake ambayo ni mengi sana kuliko madhara

Idadi ya wanawake duniani ni zaidi ya nusu ya idadi ya wanaume duniani so iwapo kila m1 ataoa wanawake wa4 hutaskia malaya unaoenda kuwanunua buguruni wakiendelea na biashara ile

Dini yetu inazingatia sana sheria,mtu aliyeoa kisha akazini adhabu yake huwa ni kupigwa mawe hadi kufa na hapo unaweza kuona ni namna gani suala la uzinzi linavyochukuliwa kiuzito tofauti na upande wenu.

Kwa maana hiyo ndo mana unaona tunasisitizana kuwaoa wanawake na kuishi nao kihalali na kutowatenga wajane na walioachika ili kuwaepusha na uzinifu.

Kuhusu suala la mirathi naweza kukuambia katika dunia hii hakuna sheria ya mirathi iliyo nzuri kama iliyoandikwa katika Quran ndo mana hata sheria ya mirathi ya tz na nchi nyinginezo imekopi vipengele vingi kutoka huko

Karibu sana upande wetu uinjoy hii fursa utoke huko jela ulikofungwa pingu unaibiaibia tu kutongoza watoto wa shule,
 
Miaka 27 unatafta mke wa pili duuh!
Umeona eee!!
Katoto kadogo kanajifanya kijogoo kumbe uzinzi mtupu!
Hili blanket la dini lishapoteza viumbe wengi sana hasa hawa wavaa vipedo!!

Jamaa katanabaisha kuwa yeye ni msuni na pengine yupo Dar es Salaam hii yenye joto la HATARI na mkewe kutwa nzima alivaa full NINJA kuanzia miguuni hadi kichwani gubigubi zaidi ya marehemu!! ivi kikawaida demu kama huyu atakuwa na mzuka wa kunjunja zaidi ya masaa matatu kama sio unyanyasaji??

Wanaumme tusihemke kisa dini zinaruhusu, tuwaheshimu wake zetu hasa inapotokea kuwa mahtaji yetu yanahusisha hisia zetu kulingana na mazingira!
 
Umeona eee!!
Katoto kadogo kanajifanya kijogoo kumbe uzinzi mtupu!
Hili blanket la dini lishapoteza viumbe wengi sana hasa hawa wavaa vipedo!!

Jamaa katanabaisha kuwa yeye ni msuni na pengine yupo Dar es Salaam hii yenye joto la HATARI na mkewe kutwa nzima alivaa full NINJA kuanzia miguuni hadi kichwani gubigubi zaidi ya marehemu!! ivi kikawaida demu kama huyu atakuwa na mzuka wa kunjunja zaidi ya masaa matatu kama sio unyanyasaji??

Wanaumme tusihemke kisa dini zinaruhusu, tuwaheshimu wake zetu hasa inapotokea kuwa mahtaji yetu yanahusisha hisia zetu kulingana na mazingira!
Pole sana kwa upotevu ulionao juu ya maisha...mawazo yako hayaendani na umri ulionao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom