doublejeopardize
Member
- Jul 12, 2025
- 31
- 33
.........
Mwanamke anapatikana popoteAisee. Chuo ukose demu, mtaani kwako ukose, huko kazini napo ukose. Ila uje umpate humu JF 😁😁
Kuoa dini pia ni kitu cha muhimu zaidi maan ni cha kimani... Elimu inasaidiaUnataka kuoa au kupiga?
Kwanini lazima awe Dar ni mlima kwamba haami, na udini wa nini mnaenda kufungua kanisa?
Na hiyo Diploma mnaenda kufanyia nini huko ndoani?
Anataka ampe Ofisi mkuu wala usiulize maswali mengi sanaUnataka kuoa au kupiga?
Kwanini lazima awe Dar ni mlima kwamba haami, na udini wa nini mnaenda kufungua kanisa?
Na hiyo Diploma mnaenda kufanyia nini huko ndoani?
Ni sawa, ulipaswa uwe umempata hizo sehemu 😀😀😀😀haya kila heri kwenye utafutajiMwanamke anapatikana popote
Msimkatishe tamaa wazee SweetyCandy njoo huku umefikiwaNi sawa, ulipaswa uwe umempata hizo sehemu 😀😀😀😀haya kila heri kwenye utafutaji
Yeye aseme tu anahonga ajira kwa ujira mdogo.Anataka ampe Ofisi mkuu wala usiulize maswali mengi sana
Njoo dmUnataka wa diploma au siyo njoo pm mkuu tubonge
Yaan hapo anaoa na kumuajiri kwenye kampuni yake kabisa ndio maana akasema awe na Diploma maana yake huko kuna interview itafuata ili kukagua vyeti vyake km vimeekizi vigezo apewe kazi na ndoa juuYeye aseme tu anahonga ajira kwa ujira mdogo.
Kimo: 1.70ft ???Habari
Mimi ni kijana mwenye miaka 32
Sifa zangu
Rangi:Mweusi
Kimo:1.70ft Mrefu wastani
Elimu: Bachelors degree ya computer Engineering
Kazi: IT consultants
Mkoa kuzaliwa : Arusha
Kuishi Dar
Dini : mkristo
Mwanamke sifa zake
1.Asiwe mfupi sana
2.Awe mkristo muislam sawa ila awe tayari kubadili dini.
Elimu Angalau aanze na diploma
Umri usizidi 28
Kigezo cha muhimu kabisa ni lazima awe Anaishi Dar
Awe na muonekano kiasi
Kama una vigezo hivi karibu.
Lengo langu ni ndoa.
Anakagua nini Nyeti zake?Yaan hapo anaoa na kumuajiri kwenye kampuni yake kabisa ndio maana akasema awe na Diploma maana yake huko kuna interview itafuata ili kukagua vyeti vyake km vimeekizi vigezo apewe kazi na ndoa juu