Natafuta mke mwenye VVU

Natafuta mke mwenye VVU

Huyo anaye jiita Perry hiv Kweli anaakili anadhani watu wanayapenda hayo matatizo? Kaka unajiona upo salama kumbe Li mkelako jamaa wanalipiga miti alafu unajiona ipo salama k u m. A. wewe.

nahisi na wewe ni mwathirika wa ukimwi kama mleta mada.
 
Mimi ninaishi na vvu nimetengana mke wangu baada ya kugundua kuwa mimi ni mwadhirika hali yangu ni mzuri huwezi kunitambua kwa macho na ninatumia arv kwahiyo natafuta mwenzangu anu PM awe katika hali nzuri.

Uliachana kisa? bora mrekebishe mrudiane, au ulimuambukiza makusud?
 
Huyo anaesema "kufa mwenyewe"nahisi kavurugwaaa tena tigooo yake imevurugwaaaaaa

Huna ndugu zako walioathirikaa,??
Wewe umepima???
Hufanyi ngono???
Kumbuka Ukimwi haubagui ukila chaka unakutana nao tena tema chini na muogope aliekuumbaaa
Mdomo mchafuuu kama brashi ya kudekia vyoo vyaa Tabora boyssss

hahaha vyoo vya white house au vile vya uwanjani near VPCB?
 
Haya sasa wewe c unajua kiswahili sana hebu jaza nafasi zilizo wazi kutumia neno NDIO au HAPANA.
1........sina akili.
2.....sina busara.
3......mi mjinga.
4.........sina tabia nzuri.
5.......simpendi Mungu.
Tuma majibu nicheke
Kwani kakwambia kalazwaa au yupo hoi,kiswahili kigumu kwelii
 
Perry mwenzio akinyolewa wewe tia maji!!! Tema mate chini. Andika PM kwa mleta mada mwombe msamaha na andika pia hapa kwa hii thread!!! Una ndugu wa damu, utakuwa na watoto, una wazazi, marafiki na wewe mwenyewe!!! We assume we are all victims of HIV either direct or indirect. Isije ikafika siku wewe ndiyo unaleta post kuwa unatafuta mwenye VVU!!!! Ukiwa na K na P na kama wewe au mwenza si mwaminifu jua wewe uko katika kundi la watarajiwa!!!!!
 
Nashukuru kwa wote mlio nifariji kwa kiasi kikubwa na inaonyesha asilimia kubwa tuna uelewa juu ya gonjwa hili kwamba kama sio wewe basi anaweza akawa ndugu yako wa karibu anaweza kuwa muadhirika, achana na hao wanyanyapaa inaonyesha tatizo hawana elimu juu ya ugonjwa huu.
 
Utapata mkuu wa kufanana nawe,vp wife uliyetengana nae ni -ve?

Yeye bahati nzuri ni mzima na tulipata mtoto, uzuri mke wangu alikubali tatizo langu tuliishi vizuri tatizo lilikuja baada ya mama mkwe pamoja na ndugu zake kujua tatizo langu yani alitoka kwa shinikizo hasa la mama yake. Alitoka kwa mbinde yani.
 
kwa roho yako nzuri yakutousambaza Mungu atakuponya ukimuamin maana hamna linaroshindikana kwake hakuna ugonjwa asiouponya kama kweli unamuamin call me 0686399397,kuna mtumishi kawaombea watu wamepona nawe Mungu atakuponya nautashuudia others

Nashukuru kwa ushauri mzuri
 
bora umejitambua kuwa wewe ni marehemu unayetembea
Hivi wewe siye Marehemu anayetembea?!

Ni nani kati ya sisi binadamu tunaotembea ambaye ataishi milele na milele?!

Tuwe makini katia utoaji comments zetu, katika issue so sensitive kama hii, sisi sote tunapaswa kumtia moyo badala ya kumkatisha tamaa.

Tutambue kuwa imenenwa katika vitabu vya dini kuwa kila nafsi itaonja mauti, sasa inashangaza kuwa wewe ni kama unajiona exceptional, ambaye hufikirii kuwa itatokea siku, utaiaga dunia hii!
 
Yeye bahati nzuri ni mzima na tulipata mtoto, uzuri mke wangu alikubali tatizo langu tuliishi vizuri tatizo lilikuja baada ya mama mkwe pamoja na ndugu zake kujua tatizo langu yani alitoka kwa shinikizo hasa la mama yake. Alitoka kwa mbinde yani.

Pole sana. Akinamama Wakwe nao! Ndoa kadhaa zimeharibika kwa sababu yao, wanapenda sana kutawala watoto wao wa kike. Je, imepita miaka mingapi tangu hayo yatokee?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom