Natafuta mke mwenye VVU

Natafuta mke mwenye VVU

Una umri gani, unaishi wapi na unajishughulisha na nini ili nikuunganishe na mdada flani hivi???
 
Hivi humu ndani kuna weu .utasema je hivyo we Perry ?? Huna akili kweli ?? We c mzima kabisa .we mwenyewe mzima wewe?? Umeshakwenda kupima Perry ?? Unalopoka tu kama ------- .umenikela sana.
Mr mleta mada kwa pole sana tena sana wala HIV cyo kifo .pili bado unaweza kuishi kwa matumaini .Sasa hv kuna vikundi vingi sana vya watu wenye hiv .unaweza kwenda kujiunga kule na ukapata watu wenye tatizo kama la kwako mkapeana mawazo na kusaidiana .na pia wapo wadada wazuri sana kule unaweza kupata mke kule . Pia humu jf kulikuwa na mama mmoja alikuwa anatafuta mume mwenye hiv .jaribu kuangali mada nyuma unaweza kupata contact zake huyo mama mkuu
 
Vipo vikundi pale Amana hospital.Mnazi mmoja.Muhimbili kwenye vitu vya Ushauri nasaha
 
Hivi humu ndani kuna weu .utasema je hivyo we Perry ?? Huna akili kweli ?? We c mzima kabisa .we mwenyewe mzima wewe?? Umeshakwenda kupima Perry ?? Unalopoka tu kama ------- .umenikela sana.
Mr mleta mada kwa pole sana tena sana wala HIV cyo kifo .pili bado unaweza kuishi kwa matumaini .Sasa hv kuna vikundi vingi sana vya watu wenye hiv .unaweza kwenda kujiunga kule na ukapata watu wenye tatizo kama la kwako mkapeana mawazo na kusaidiana .na pia wapo wadada wazuri sana kule unaweza kupata mke kule . Pia humu jf kulikuwa na mama mmoja alikuwa anatafuta mume mwenye hiv .jaribu kuangali mada nyuma unaweza kupata contact zake huyo mama mkuu

Andika basi vizuri
 
Hivi wewe Perry una akili timamu!!kweli sasa hivi JF imevamiwa na vichaa sio ile ninayoijua mimi.




Ha ha ha ha..... kweli muulize maana kama vile hajaelewa, mtoa tangazo kasema yeye anaishi na VVU na anatafuta mwenye VVU wasaidiane maisha wewe Perry wamwambia afe mwenyewe.... duh kweli michango mingine inakera
 
Last edited by a moderator:
Kaka unayetafuta mwenza wa kuishi naye nini sababu ya kutengana na mkeo?? kwa hali ya kawaida nilitegemea kama wote hali zenu zinafanana hakupaswa kufanya kitendo kama hiki. Labda tu kuwepo na hali tofauti za afya zenu.
 
Pole sana,matumaini yngu mungu atakupa hitaji la moyo wako,huyo mkeo nae kakosa haya kabisa lolz!
 
Kuna mwanamke ameathirka naye alikuwa akitafuta mwanaume aliyeathirika mwenzake bahati nzuri alimpata wakafunga ndoa na sasa wana maisha mazuri tu wanatarajia kupata mtoto asiyeathirika hivi karibuni. Siyo kitu ya kubeza hii, jitahidi ndungu yangu utampata wa kukutuliza moyo.
 
sorry for inconvinience, kama hutapata mke, pliz utanipm coz nami nina Vina Vikali Usipime (VVU) na kuna njia niliitumia kupata mwenza nikafanikiwa, so ntakupa njia hiyo rahisi, All in all, Kila la kheri
 
Mhh,naona pole zimekua nyiiiingi,jama hatuko msibani,jamaa anatafuta mke.
Hiv ni kama malaria tu sikuhizi
 
Utafanikiwa kupata jaribu support groups pia kama hakuna mtandao wa kukutana unaweza pata pia kwani kuna zaidi ya 2m
 
Kufa mwenyewe ebu.

Unaweza ukawa huna vvu sahivi but sio guarantee kwamba huwezi kuvipata, wapo wengi tu waliotulia lakini bahati mbaya mwenzi wako unayemwamini pengine hajatulia then unajikuta na wewe umepata kwa style hiyo,nakusikitikia sana unapotoa maneno ya namna hiyo kana kwamba umesign mkataba na Sir God kwamba utaishi milele
 
kwa roho yako nzuri yakutousambaza Mungu atakuponya ukimuamin maana hamna linaroshindikana kwake hakuna ugonjwa asiouponya kama kweli unamuamin call me 0686399397,kuna mtumishi kawaombea watu wamepona nawe Mungu atakuponya nautashuudia others
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom