Natafuta mke mwenye VVU

Natafuta mke mwenye VVU

Haya sasa wewe c unajua kiswahili sana hebu jaza nafasi zilizo wazi kutumia neno NDIO au HAPANA.
1........sina akili.
2.....sina busara.
3......mi mjinga.
4.........sina tabia nzuri.
5.......simpendi Mungu.
Tuma majibu nicheke

Siongei na mbwa naongea na mwenye mbwaaa,hujaitwa ushaitika na ukiitwaa je punguzaa kinyege mshindooo utakunwaAAAA
 
Siongei na mbwa naongea na mwenye mbwaaa,hujaitwa ushaitika na ukiitwaa je punguzaa kinyege mshindooo utakunwaAAAA
Yaani c amini kama jukwaa hili limegeuzwa pango la makahaba, malaya wa mtaa wa uwanja wa fisi kama huyu dada..ckujui unifahamu umethubutu kunitusi...Aisee kwa kitendo hki ulichojaribu kwetu inabidi leo nichinje kuku kuondoa nuksi katika ukoo, yaani kwetu tunaamini bita ni bita hata ya maneno afu isitoshe wewe ni mwanamke umenitusi siamini moderator wako wapi..?...I decided to burn myself 4m JF for one year..
 
Yaani c amini kama jukwaa hili limegeuzwa pango la makahaba, malaya wa mtaa wa uwanja wa fisi kama huyu dada..ckujui unifahamu umethubutu kunitusi...Aisee kwa kitendo hki ulichojaribu kwetu inabidi leo nichinje kuku kuondoa nuksi katika ukoo, yaani kwetu tunaamini bita ni bita hata ya maneno afu isitoshe wewe ni mwanamke umenitusi siamini moderator wako wapi..?...I decided to burn myself 4m JF for one year..

polee ndo ujue hii c great thinkers tena naona ni mchanganyiko wa yote
 
Ni kama mwaka mmoja

Mimi nafikiri ujue kwanza msimamo wa mke wako kwa sasa ni upi, yaani usisimamie msimamo wa mama mkwe bali usikie kauli ya mke wako yeye mwenyewe. Yeye anasemaje leo? Maamuzi yoyote mengine yasifanyike kwanza mpaka jitihada zote zishindikane. Je, wazee walikaa kwa suala hili? Je, viongozi wa imani wanasemaje? Au Je, mlishaachana kisheria? Maamuzi unayotaka kuyachukua ujue ni mazito na yataleta mchango mkubwa +ve au -ve ktk maisha yako.
 
bora umejitambua kuwa wewe ni marehemu unayetembea

Nyie ndio mnasababisha watu wasambaze makusudi. Ujue kuna watu huwa wanaambukiza vvu ili kulipiza kisasi cha kunyanyapaliwa au kudharauliwa pasipo sababu.
 
Yaani c amini kama jukwaa hili limegeuzwa pango la makahaba, malaya wa mtaa wa uwanja wa fisi kama huyu dada..ckujui unifahamu umethubutu kunitusi...Aisee kwa kitendo hki ulichojaribu kwetu inabidi leo nichinje kuku kuondoa nuksi katika ukoo, yaani kwetu tunaamini bita ni bita hata ya maneno afu isitoshe wewe ni mwanamke umenitusi siamini moderator wako wapi..?...I decided to burn myself 4m JF for one year..

Ooop chinjaaa unikaribishee tule mbona sijakutusiiiii wanisingiziaaa eeeee,,,naona we hujion matusi yako unaona ya wenzio tuu
 
Pole sana kijana naimani Mungu yupo na atafanya kitu lakini cha muhimu ni kutambua yakuwa Hauna haja ya kuwaambukiza wengine na pili Jaribu kutembelea mahosptalini Ili kukutana na wataalam wa counseling naamini hawataweza kukutupa mkono please zingatia dawa na mazoezi HIV/AIDS Did not kill am sure 100% nipo na mama yangu mdogo anamiaka 23 na huu ugonjwa na mumewake na wanaishi Safi na wanajipenda sana Jipe moyo ndugu .
 
Hello
Pole aisee.Una miaka mingapi pia unaishi wapi?Nina dadangu ana 32 years niwaunganishe kama hutojali.
 
nimesoma hii thread kuanzia mwanzo hadi mwisho, nimegundua watanzania wengi bado wajinga, unawezaje kutoa maneno ya kinyanyapaa kwa mtu mwenye vvu?!!!!...shame.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom