MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 6,656
- 22,443
Humu kila mtu atajifanya hamjui mganga....binadamu wanafki sana.....ila wakati ukiwaangalia wanachale mbichiiiii!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umenena, ila watu wawe makini sana humu, maana sasa hivi kuna mabalaa yanayotokea kule Njombe, Serikali inaendelea kufanya upelelezi wa matukio yale, usije ukaenda pm kwa mtoa mada na kujieleza kua unamfahamu mganga ambae alikufanikishia wewe au jamaa yako, ujue utalisaidia jeshi la polisi, hapa ni kua makini mtu anaweza kuja kwa staili hiyo kumbe yupo kazini.
😂😂😂 khaaKuna mganga mmoja yupo Zanzibar yeye anakuchanja chale kuzunguuka kinyero chako na masharti mengine baada ya muda unafanikiwa, mimi niligoma kuangaliwa kinyero changu na mwanaume mwenzangu, tena akiguse hapo nilishidwa kabisa, labda ingekuwa mwanamke sawa yeye ningemruhusu hata kuingiza kidole
Kuna mganga mmoja Namjua hata mi namtumia Jina lake Yesu kristo alinipa dawa ya kufanikiwa ni kufanya kaz na kusali. Fika kanisani ndiko aliko mwite ataitikaHabari zenu ndugu,
Najua JF kuna watu wengi wanaojua watu hawa wanaoweza kufanikisha hili, nipo serious sana anaeweza kuniunganisha nae aje PM please.
Nina uhitaji sana wa hii kitu wewe unaesoma kama unaweza kunisaidia nipm
Karibuni.
(KWA WANAOAMINI HAYA MAMBO TU)
Sent using Jamii Forums mobile app
mganga namlipansh 50,000 biasharabinahitaji mtaji wa 100mln sasa hizo mganga anazoUmejuaje kua baada ya biashara zako kushuka mganga wa kienyeji ndiye atakayezipandisha?
Umejaribu ku study root cause ya biashara zako kushuka?
Huko kwa mganga ndio sasa unaenda
kushuka na wewe pia na sio biashara zako tu!
huyo mganga kama anaweza kuzipandisha biashara zako si angekua yeye ni mfanyabiashara mkubwa tuu?!
Najua mtashangaa natafuta mganga wa kienyeji ndio baada ya biashara zangu kushuka kwa muda mrefu nikaona mnisaidie mimi nasomaga tu jamii forum ila leo nimeona tu nijiunge niseme ukweli mimi ni mwanamke umri haujaenda sana ila nipo serious anayejua anipm maneno ya kupondeana sina muda huo nipo serious ila naomba msinielekeze kwa wanaotoa kafara siwezani na hilo.
Nataka biashara zangu tu ziende vizuri.
Nategemewa sana na familia yangu .
Naombeni msaada mimi sijatumwa na mtu nimejituma .
NIPO.SERIOUS KABISA.
Kuna mganga mmoja Namjua hata mi namtumia Jina lake Yesu kristo alinipa dawa ya kufanikiwa ni kufanya kaz na kusali. Fika kanisani ndiko aliko mwite ataitika
Je huyo mganga atawarejesha hao ndugu zako watakaokuwa wamefariki?