X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,700
- 14,768
Nauli yako tuu...lakini ukimwi upo...mkuu mi nataka ya kutongozea misambwanda hapa mjini nitapata huko handeni
Nauli yako tuu...lakini ukimwi upo...mkuu mi nataka ya kutongozea misambwanda hapa mjini nitapata huko handeni
Hebu niunganishe mkuuNauli yako tuu...lakini ukimwi upo...
Lini upo teyari...?Hebu niunganishe mkuu
Mkuu hata kesho naja haitakiwi nicheleweLini upo teyari...?
kweli we Black catNajua mtashangaa natafuta mganga wa kienyeji ndio baada ya biashara zangu kushuka kwa muda mrefu nikaona mnisaidie mimi nasomaga tu jamii forum ila leo nimeona tu nijiunge niseme ukweli mimi ni mwanamke umri haujaenda sana ila nipo serious anayejua anipm maneno ya kupondeana sina muda huo nipo serious ila naomba msinielekeze kwa wanaotoa kafara siwezani na hilo.
Nataka biashara zangu tu ziende vizuri.
Nategemewa sana na familia yangu .
Naombeni msaada mimi sijatumwa na mtu nimejituma .
NIPO.SERIOUS KABISA.
0six5300four nitafute...nikuelekeze...handeni si unapafahamu...?Mkuu hata kesho naja haitakiwi nichelewe
Kwa hyo nije nikutafute si unipe contact za mganga moja kwa moja0six536800four nitafute...nikuelekeze...handeni si unapafahamu...?
Nafikiri mtoa mada atakutafuta0six536800four nitafute...nikuelekeze...handeni si unapafahamu...?
ni text kwa namba yangu hiyo nikutumie nomba ya mganga...siwezi kuiweka humu bila ridhaa yake.Kwa hyo nije nikutafute si unipe contact za mganga moja kwa moja
Worry outNafikiri mtoa mada atakutafuta
Pole sana dada, ila endelea kumtumaini Mwenyezi Mungu ni mitihani tu ya kidunia amini ipo siku mambo yatakua shwari.Kweli YESU NDIO NJIA PEKEE MAOMBI NDIO NJIA SAHIHI YA KILA SIKU NA KILA SAA UNADHANI SIJUI NAJUA BIBLIA SANA TU.
NAMPENDA YESU WANGU SANA KUSHINDA DUNIA NZIMA ILA UNAJUA WHY NAHITAJI.
1.Namiaka 30 sina mume nikipata naachika wengine wanauwawa.
2.sina kazi nanikipata nafukuzwa bila shida baada yakutoka ukikutana na meneja anakuambia hivi ulitokaje hapo kwetu.
Namjibu siulinifukuza mimi anashangaa mana sio yeye.
Nimeishi ndani ya dini maisha yangu yote mimi ni mtoto wa pastor napia nimekaa mpaka sasa 18-30 sijaolewa sina kazi familia yangu ni wamefukuzwa umeruni wengine wamekatwa katwa nyumba tumeacha imechomwa.
Halafu tunapanga kwetu hakuna aliyeoa au kuolewa mpaka wengine wanakaribia 40 hawana watoto.
Kila siku unawaza unaolewa lini.
Halafu kwa sasa hakuna atakayekuoa hivi unajisikiaje?
Nikuombe kitu achana na maisha ya watu kwa maana hujui watu wanakotokea .
Sio sijui najua .
Mpaka sasa ni Mungu amenipa uhai kabisa
Hiyo ni number ya Simu eeee?0six5300four nitafute...nikuelekeze...handeni si unapafahamu...?
Mkuu Hope ulishamsikiliza na kutatua haja yake maana wewe ni baba la michawiNipo kijana nakusikiliza sema shida yako
Ilikuwa namba ya simu ila imeliwa na virusHiyo ni number ya Simu eeee?
Ushapata mganga?? Yupo mzee Pemba naweza kukupelekaKweli YESU NDIO NJIA PEKEE MAOMBI NDIO NJIA SAHIHI YA KILA SIKU NA KILA SAA UNADHANI SIJUI NAJUA BIBLIA SANA TU.
NAMPENDA YESU WANGU SANA KUSHINDA DUNIA NZIMA ILA UNAJUA WHY NAHITAJI.
1.Namiaka 30 sina mume nikipata naachika wengine wanauwawa.
2.sina kazi nanikipata nafukuzwa bila shida baada yakutoka ukikutana na meneja anakuambia hivi ulitokaje hapo kwetu.
Namjibu siulinifukuza mimi anashangaa mana sio yeye.
Nimeishi ndani ya dini maisha yangu yote mimi ni mtoto wa pastor napia nimekaa mpaka sasa 18-30 sijaolewa sina kazi familia yangu ni wamefukuzwa umeruni wengine wamekatwa katwa nyumba tumeacha imechomwa.
Halafu tunapanga kwetu hakuna aliyeoa au kuolewa mpaka wengine wanakaribia 40 hawana watoto.
Kila siku unawaza unaolewa lini.
Halafu kwa sasa hakuna atakayekuoa hivi unajisikiaje?
Nikuombe kitu achana na maisha ya watu kwa maana hujui watu wanakotokea .
Sio sijui najua .
Mpaka sasa ni Mungu amenipa uhai kabisa
We naweeee! Wewe ulipotezwa na waganga wangapi?? Hebu tulia na yesu wakoPole lakin pamoja na changamoto zote hzo ulizona nazo ukweli utabaki kuwa ukweli hautabadilika , waganga watakupoteza,