Kweli YESU NDIO NJIA PEKEE MAOMBI NDIO NJIA SAHIHI YA KILA SIKU NA KILA SAA UNADHANI SIJUI NAJUA BIBLIA SANA TU.
NAMPENDA YESU WANGU SANA KUSHINDA DUNIA NZIMA ILA UNAJUA WHY NAHITAJI.
1.Namiaka 30 sina mume nikipata naachika wengine wanauwawa.
2.sina kazi nanikipata nafukuzwa bila shida baada yakutoka ukikutana na meneja anakuambia hivi ulitokaje hapo kwetu.
Namjibu siulinifukuza mimi anashangaa mana sio yeye.
Nimeishi ndani ya dini maisha yangu yote mimi ni mtoto wa pastor napia nimekaa mpaka sasa 18-30 sijaolewa sina kazi familia yangu ni wamefukuzwa umeruni wengine wamekatwa katwa nyumba tumeacha imechomwa.
Halafu tunapanga kwetu hakuna aliyeoa au kuolewa mpaka wengine wanakaribia 40 hawana watoto.
Kila siku unawaza unaolewa lini.
Halafu kwa sasa hakuna atakayekuoa hivi unajisikiaje?
Nikuombe kitu achana na maisha ya watu kwa maana hujui watu wanakotokea .
Sio sijui najua .
Mpaka sasa ni Mungu amenipa uhai kabisa