Wana jf ni matumaini yangu mu wazima Wa afya.niende kwenye mada husika,Mimi ni kijana Wa makamo Niko njombe wilaya ya makete,wiki tatu zilizo pita wez walivamia nyumbani kwangu Na kuiba pikipiki.ombi langu ni kwamba kama Kuna mtu yeyote anaemfaham Mganga Wa jadi tafadhar nisaidieni nimechoka kuibiwa jamani hii ni Mara ya tatu sasa nahis Kwa sababu hawafanywi chochote ndio maana wamekuwa wananionewa.please Niko silias naomba msaada kama huwez tafadhar pita kimya bila koment yoyote.DM au nichek 0756752369