Natafuta mganga wa kienyeji

Natafuta mganga wa kienyeji

Wana jf ni matumaini yangu mu wazima Wa afya.niende kwenye mada husika,Mimi ni kijana Wa makamo Niko njombe wilaya ya makete,wiki tatu zilizo pita wez walivamia nyumbani kwangu Na kuiba pikipiki.ombi langu ni kwamba kama Kuna mtu yeyote anaemfaham Mganga Wa jadi tafadhar nisaidieni nimechoka kuibiwa jamani hii ni Mara ya tatu sasa nahis Kwa sababu hawafanywi chochote ndio maana wamekuwa wananionewa.please Niko silias naomba msaada kama huwez tafadhar pita kimya bila koment yoyote.DM au nichek 0756752369
Njoo PM
 
Nenda kwa mzee wa upako akupe mafuta na maneno ya kunuia katika biashara.
 
Kuna watu humu wanajifanya hawataki kabisa mambo ya waganga ila pengne wao ndio wenyewe imani za kishirikina kwenye biashara hili lipo na wafanya biashara wengi hii wanafanya sana wala halina ubishi ila ni siri kubwa sana kwao.
 
Umejuaje kua baada ya biashara zako kushuka mganga wa kienyeji ndiye atakayezipandisha?

Umejaribu ku study root cause ya biashara zako kushuka?

Huko kwa mganga ndio sasa unaenda kushuka na wewe pia na sio biashara zako tu!
huyo mganga kama anaweza kuzipandisha biashara zako si angekua yeye ni mfanyabiashara mkubwa tuu?!
Mpaka sasa huyo mganga unayedhani hajafanikiwa, kafanikiwa sana na biashara yake hiyo ya uganga imepanda sana kuliko wenzake.
 
Najua mtashangaa natafuta mganga wa kienyeji ndio baada ya biashara zangu kushuka kwa muda mrefu nikaona mnisaidie mimi nasomaga tu jamii forum ila leo nimeona tu nijiunge niseme ukweli mimi ni mwanamke umri haujaenda sana ila nipo serious anayejua anipm maneno ya kupondeana sina muda huo nipo serious ila naomba msinielekeze kwa wanaotoa kafara siwezani na hilo.
Nataka biashara zangu tu ziende vizuri.
Nategemewa sana na familia yangu .
Naombeni msaada mimi sijatumwa na mtu nimejituma .
NIPO.SERIOUS KABISA.
Njoo inbox nikusaidie na yeyote mwenye shida kama ww
 
Back
Top Bottom