huna helaSo ambition yangu kusoma bongo
Yaani nilishangaa ana division 2 ila anaandika divition badala ya division.
- mkuu kuhusu division two sio tatizo mi kuna jamaa namjua alipata division three na akapata ufadhili wa masomo nje ya nchi.
kama unacheza basket una urefu wa5'9 wa kike au 6'10 wa kiume umri chini ya miak 17 nitafute nafasi wazi wazisalaam. wana jamVi.
nmemaliza form six juz nikapata divition 2 naomba msaada wenu mnipe ushaur wapi nitapata mtu wa kuniwezesha kwenda kusoma nje yaa nchi kwan ni ndoto yangu ya kila siku na natamaan sana itimie lakin nashindw nipate wapi msaada. maoni yenu pleeeeez
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna mshikaji wangu yupo mjini ana piga kikapu tangu amalize diploma yake... naomba kuwasiliana nawe ili niweze kumpata taratibu mkuu za hiyo fursa...kama unacheza basket una urefu wa5'9 wa kike au 6'10 wa kiume umri chini ya miak 17 nitafute nafasi wazi wazi
Huyo atakuwa juu ya miaka 17, inabidi awe chini ya miaka 17 na urefu huo mkuu yani hiyo ni muhimu sana.kuna mshikaji wangu yupo mjini ana piga kikapu tangu amalize diploma yake... naomba kuwasiliana nawe ili niweze kumpata taratibu mkuu za hiyo fursa...
sawa mkuu nime kuelewa... nikutafute muda wowote au kuna deadline boss...Huyo atakuwa juu ya miaka 17, inabidi awe chini ya miaka 17 na urefu huo mkuu yani hiyo ni muhimu sana.
utancheck via mathewnicholaus@gmail.comsawa mkuu nime kuelewa... nikutafute muda wowote au kuna deadline boss...
Shukran mkuuuutancheck via mathewnicholaus@gmail.com
Mkuu kuna kijana amepatikana... nimempa mzee wake email yako ili muweze kuwasiliana... ana sifa hizo ulizo zitaja au kuhitajika...utancheck via mathewnicholaus@gmail.com
Sawa mkuu akinicheki ntampa maelekezo. Si anacheza kikapu? Maana wanahitaj video ya dakika moja akicheza kikapu, trans kutoka shule anayosoma na copy ya passport yake. Kama kila kitu kiko poa hadi miaka hakuna longo longoMkuu kuna kijana amepatikana... nimempa mzee wake email yako ili muweze kuwasiliana... ana sifa hizo ulizo zitaja au kuhitajika...
yeah ana cheza kikapu mkuuu...Sawa mkuu akinicheki ntampa maelekezo. Si anacheza kikapu? Maana wanahitaj video ya dakika moja akicheza kikapu, trans kutoka shule anayosoma na copy ya passport yake. Kama kila kitu kiko poa hadi miaka hakuna longo longo
Sawa hapo safiyeah ana cheza kikapu mkuuu...
Mkuu huyo jamaa hajanicheki mpaka sasayeah ana cheza kikapu mkuuu...