afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,215
Eti una watoto tayari?
Kariibu mkuu
Eti una watoto tayari?
Bora kasema kabisa, mara yanajitokeza mijidume, unajua tena watu wanavyochangamkia tenda!mwanzo uliishi mchumba wa kiume? ufafanuzi kwenye bold blue
Click on the name of anyone you want to PM you will see:jamani nifundisheni ku PM dont ignore
Ndugu zangu habari za saa hizi
Najua wengi wetu tumeishapona vidonda vya uchaguzi na mimi ndo nimemaliza hekaheka za uchaguzi naweza kupumzka nyumbani. Mapumziko yangu yamenifanya nitafute mwenza wangu wa kunifaa maishani, niliyekuwa naye tumeachana miaka 7 iliyopita aliniachia watoto watatu.
Jamani naomba msaada wenu bila kubezana
Sifa
Awe wa kike umri kuanzia miaka 35-40
awe mcha mungu
awe tayari kupenda watoto wangu na kuwatunza
awe dini yoyote
hasiwe mchuma hela
Natanguliza shukurani
Vigezo vyote poa ila hilo jina lako ndo linatia kichefuchefu naona kama utanitesa sana ukiniweka ndani!!!!
Vigezo vyote poa ila hilo jina lako ndo linatia kichefuchefu naona kama utanitesa sana ukiniweka ndani!!!!
Vigezo vyote poa ila hilo jina lako ndo linatia kichefuchefu naona kama utanitesa sana ukiniweka ndani!!!!
Vigezo vyote poa ila hilo jina lako ndo linatia kichefuchefu naona kama utanitesa sana ukiniweka ndani!!!!
JK bado hujapata tu tangu mwaka jana? Kama bado hujapata ongezea kigezo.... ''awe mpenda CCM''
JN we ulipataga my dear?
Bado dear, nahisi tatizo watu walianzisha misred ya mizaha kibao mpaka watu makini wakatupotezea wote.
Vigezo vyote poa ila hilo jina lako ndo linatia kichefuchefu naona kama utanitesa sana ukiniweka ndani!!!!
Duuu wewe dada kumbe....sasa ndio nimeamini humu ndani ni noma.....
Oohh pole my dear
mambo mazuri yako njiani
usijali na sie tuko hapa kukutuliza
Mpaka kieleweke hahaha lol
Asante, hata mimi naamini hivyo.