Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Loooh. dada yangu Rose1980.............Acha ubahiri..........wenzio wamekushukuru mara 251 lakini wewe umeshukuru mara moja tu .......ka dada Rose1980 walainishie wenzio hicho kiganja ili uwe unabonyezabonyeza hicho kitufe mara kwa mara....................wanadhani jf ndo sokon au mton unaweza tu kuopoa kwa urahisi...mtu anasoma post zako afu anakupimia tu like uyu ni...nikimwambia ivi itakuwa poa.....so wameona weng umu na wanapima kwa post so wanazani watakubaliwa.......!!!!!
Usihofu hata kama hao utawashukuru wakifikiri kuwa upo sokoni na ya kuwa unapatikana kwa urahisi.........mimi nitawakumbusha watofautishe majambos...........