Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Ndugu zangu habari za saa hizi
Najua wengi wetu tumeishapona vidonda vya uchaguzi na mimi ndo nimemaliza hekaheka za uchaguzi naweza kupumzka nyumbani. Mapumziko yangu yamenifanya nitafute mwenza wangu wa kunifaa maishani, niliyekuwa naye tumeachana miaka 7 iliyopita aliniachia watoto watatu.
Jamani naomba msaada wenu bila kubezana
Sifa
Awe wa kike umri kuanzia miaka 35-40
awe mcha mungu
awe tayari kupenda watoto wangu na kuwatunza
awe dini yoyote
hasiwe mchuma hela
Natanguliza shukurani
Ndugu zangu habari za saa hizi
Najua wengi wetu tumeishapona vidonda vya uchaguzi na mimi ndo nimemaliza hekaheka za uchaguzi naweza kupumzka nyumbani. Mapumziko yangu yamenifanya nitafute mwenza wangu wa kunifaa maishani, niliyekuwa naye tumeachana miaka 7 iliyopita aliniachia watoto watatu.
Jamani naomba msaada wenu bila kubezana
Sifa
Awe wa kike umri kuanzia miaka 35-40
awe mcha mungu
awe tayari kupenda watoto wangu na kuwatunza
awe dini yoyote
hasiwe mchuma hela
Natanguliza shukurani
vigezo vyote ninavyo....ila hapo kwenye bluu ndio patanishinda.....mimi na pesa dam dam
Petra hizi za huku hazinaenea bado ............ hahah :smile-big::wink2:vigezo vyote ninavyo....ila hapo kwenye bluu ndio patanishinda.....mimi na pesa dam dam
mwanzo uliishi mchumba wa kiume? ufafanuzi kwenye bold blueNdugu zangu habari za saa hizi
Najua wengi wetu tumeishapona vidonda vya uchaguzi na mimi ndo nimemaliza hekaheka za uchaguzi naweza kupumzka nyumbani. Mapumziko yangu yamenifanya nitafute mwenza wangu wa kunifaa maishani, niliyekuwa naye tumeachana miaka 7 iliyopita aliniachia watoto watatu.
Jamani naomba msaada wenu bila kubezana
Sifa
Awe wa kike umri kuanzia miaka 35-40
awe mcha mungu
awe tayari kupenda watoto wangu na kuwatunza
awe dini yoyote
hasiwe mchuma hela
Natanguliza shukurani
mwanzo uliishi mchumba wa kiume? ufafanuzi kwenye bold blue
...linganisheni avator zenu kwanza...jokin:smile-big:
Ndugu zangu habari za saa hizi
Najua wengi wetu tumeishapona vidonda vya uchaguzi na mimi ndo nimemaliza hekaheka za uchaguzi naweza kupumzka nyumbani. Mapumziko yangu yamenifanya nitafute mwenza wangu wa kunifaa maishani, niliyekuwa naye tumeachana miaka 7 iliyopita aliniachia watoto watatu.
Jamani naomba msaada wenu bila kubezana
Sifa
Awe wa kike umri kuanzia miaka 35-40
awe mcha mungu
awe tayari kupenda watoto wangu na kuwatunza
awe dini yoyote
hasiwe mchuma hela
Natanguliza shukurani
wanadhani jf ndo sokon au mton unaweza tu kuopoa kwa urahisi...mtu anasoma post zako afu anakupimia tu like uyu ni...nikimwambia ivi itakuwa poa.....so wameona weng umu na wanapima kwa post so wanazani watakubaliwa.......!!!!!Mbona watu wengi wamekuwa wakitafuta wachumba JF kulikoni?:nono:
vigezo vyote ninavyo....ila hapo kwenye bluu ndio patanishinda.....mimi na pesa dam dam