MankaM
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 9,448
- 3,071
Kijana wa miaka 40!
Kijana huwa kati ya umri upi
Kijana wa miaka 40!
aibu nimeona mimi nakwambia
ni kweli mkuu mana siku ukizubaa hao watoto wa kiume watakuniga siku moja mana baba ana 40yrs imagine mtoto wa kwanza ana 20something afu aone mama mwenyewe unaita afu mama wa kukodi aaaaaaahhhhhhh lazima akunigeHata sisi hatutaki kuwa maYAYA..........watoto 3 tena wa kiume......?........labda wangekuwa wa kike tungefikiria........
ajaribu waPARE...........
Hahahaaaaaaaa, kama fursa ndio hizi naziendelee kunipita, ujana wake ale na nani uzee akamfie nani..
Hata sisi hatutaki kuwa maYAYA..........watoto 3 tena wa kiume......?........labda wangekuwa wa kike tungefikiria........
ajaribu waPARE...........
kwani ujana mwisho miaka mingapi
Degree holder mwenye miaka 25 aje alee watoto 3 wa nje ya ndoa.
Labda uwe na hela kama za mengi
Hata sisi hatutaki kuwa maYAYA..........watoto 3 tena wa kiume......?........labda wangekuwa wa kike tungefikiria........
ajaribu waPARE...........